Gaidi Hana Rafiki, Dunia Iungane

Gaidi Hana Rafiki, Dunia Iungane

Ni mpumbavu tu ndiye atawaunga mkono waisraeli
 
Tabia za kuwakaribisha na kuwaficha Magaidi kwenye Jamii zenu zikome mara moja.

Kama mnataka madaraka ya Kisiasa mjiunge kwenye vyama vya Kisiasa mgombee nafasi mchaguliwe.

Uhalifu uliofanywa Kibiti, Tanga na kwingineko haukubaliki tena.

Mkirudia tena tutawashughurikieni na nyie wenyeji wao.
 
Kanuni kuu ya gaidi ni kuua yeyote. Hivyo ujue kuwa gaidi akitaka kuua tajiri, halafu maskini nao wakawepo hapo hapo, na maskini nao watauawa pamoja na huyo tajiri. Ndiyo maana yale magaidi ya September 11 kule US, hayakuuliza wala kuchunguza ndani ya zile ndege kulikuwa na wageni wangapi wala kwenye yale majengo kama kulikuwa na wageni au waislam.

Magaidi ya Hamas, hayajawaua watanzania, Waafrika Kusini, Wamalawi, Wamarekani, Waingereza na wengine wote kwa bahati mbaya. Wamefanya hivyo makusudi, na kwa kujua kabisa kuwa yanawaua watu wa Mataifa mbalimbali. Yaliwaua waafrika huku yakichukua video kwa lengo la kuhakikisha video hizo zinafika kwa Waafrika wenzao ili waogope kwenda Israel, na Israel ikose wafanyakazi wa mashambani.

Magaidi yaliyoshambulia ubalozi wa Kenya pale Nairobi, hayakuuliza humo ndanii kuna waislam wangapi au wakristo wangapi. Yaliua kila ambaye bomu liliweza kumfikia.

Magaidi ya Hamas yamewahi kuwaua wapalestina wenzao kwa madai kwa nini wanafanya mazungumzo na Wayahudi.

Magaidi ya Hizbollah yalimwua Waziri mkuu wao Rafiq Hariri kwa madai kuwa kwa nini alikuwa anawashirikisha wakristo wachache kwenye Serikali yake.

Magaidi ya Hamas, sasa yamefikia kutoa tamko kuwa yamewaua na kuwateka watu wa mataifa mbalimbali Duniani, siyo kwa bahati mbaya, bali kwa kukusudia, ili kuweka tishio kuwa ukienda Israel hupo salama. Yaani watu wote waogope kwenda Israel.

Na ndicho magaidi ya Houthi ya kule Yemen yanachofanya pia. Yanaziteka meli zinazopita kwenye ghuba ya Yemen. Lengo ni kuyafanya makampuni ya meli yaogope kupitisha meli zao eneo hilo; na kama meli hazitapita hapo, basi Israel ikose mizigo.

Ni punguani pekee anayeweza kuunga mkono ugaidi wa Hamas. Haya magaidi yanaweza kuondoa hata uhai wake yeye anayeuyaunga mkono. Chukulia unasafiri, umepanda ndege, ndani ya ndege kuna mtu ambaye haya magaidi yanamtafuta. Yakiamua kuilipua hiyo ndege, haya magaidi hayafikirii kabisa juu ya uhai wa wale abiria wengine nje ya yule wanayemtaka. Yatawaua ninyi nyote pamoja.

Urafiki qetu na mamlaka ya Palestina, haujasaidia chochote kuzuia magaidi haya yasiwaue vijana wetu. Huo ni ujumbe tosha kuwa gaidi hana rafiki, na kwamba tumekuwa wajinga kufanya urafiki na jamii hizi za magaidi.

Magaidi ya Hamas yametenda unyama wa kila aina siku ile ya tarehe 7 Octoba kule Israel. Yaliua bila ubaguzi. Na kuna uthibitisho yaliwabaka wasichama wa Israel maeneo ya mashambani, kisha kuwakata shingo. Na sasa yanajivunia kutekeleza unyama huu.

Dunia isipoungana kuyaangamiza haya magaidi ya Hamas, Hizbollah na mengine yaliyojazana hapo Mashariki ya Kati, kuna siku Dunia itajuta.

Tuombee kampeni ya Israel ya kuyaangamiza haya magaidi, ifanikiwe. La sivyo, Dunia nzima siyo salama. Angalia yalivyotusumbua kule Kibiti na Mkurunga. Fikiria huko jimbo la Cabo Delgado Msumbiji, Somalia, Nigeria, Mali, na maeneo mengine mengi.

Haya magaidi yakipata ushindi ja yakizidi kujijenga, itafika mahali yatakuwa yanashambulia nchi yoyote au kiongozi yeyote kama hayaungi mkono.
Je ingekuwa we ungefanyaje?

IMG-20231219-WA0022.jpg
 
IDF siyo magaidi. Ni jeshi ambali linapambana na magaidi wanaotaka kuwaangamiza Waisrael.
Wewe ukitaka kutambua ata CIA ni magaidi sawa tu! Kwani ao wanaitambua Hamas magaidi ni washirika wa Israel, na pia Uturuki inaitambua IDF kama magaidi! Kwaiyo ni suala la uamuzi wako tu na ndiyo maana Marekani analitambua jeshi la Iran kama magaidi na Iran analitambua kama jeshi la Marekani kama magaidi.
 
Wewe ukitaka kutambua ata CIA ni magaidi sawa tu! Kwani ao wanaitambua Hamas magaidi ni washirika wa Israel, na pia Uturuki inaitambua IDF kama magaidi! Kwaiyo ni suala la uamuzi wako tu na ndiyo maana Marekani analitambua jeshi la Iran kama magaidi na Iran analitambua kama jeshi la Marekani kama magaidi.

Vyovyote iwavyo. Jambo lililo wazi, kuna watu ni wa hovyo kabisa kwa sababu hawawatakii mema wapalestina. Ndiyo hao wanajifanya wanawapenda, lakini ushauri wao ni wa kuwafanya wapalestina wakose na waangamie.

Mwaka 1947, Wapalestina walipewa 40% ya eneo la Gaza. Wayahudi walipewa 60%. Madai ya wapalestina yalikuwa madogo sana, wakidai kuwa Wayahudi wamepewa arshi nzuri kwa kilimo na pwani yote ya bahari ambayo ndiyo pekee inayowezesha uzushi.

Zikatokea nchi wanafiki za Kiarabu, yakawaambia wapalestina wagomee hiyo 40%, na kwamba nchi hizo zitawasaidia kuhakikisha wayahudi wanateketezwa, na wao wapalestina watapewa eneo lote. Nao wakaamini na kukubali. Mwaka 1948 wakaanzisha vita. Matokeo yake wakapigwa, na Israel ikachukua 60% ya ile 40%. Iran na baadhi ya mataifa mengine ya kiarabu, wakaendelea kuwadanganya wapalestina kuwa eti watawaondoa wayahudi. Mwaka 1967, wakapigwa vibaya, na wayahudi wakachukua maeneo mengine. Vita vya kila mwaka vinaua maelfu ya wapalestina, lakini waarabu wanaendelea kuwadanganya wapalestina, na kwamba waendelee kufanya mashambulizi shidi ya Israel. Kila shambulizi wanalofanya, wapalestina wanakufa karibia mara 15 ya Waisrael, lakini wale wanafiki wanaendelea kuwadanganya wapalestina.
 
Vyovyote iwavyo. Jambo lililo wazi, kuna watu ni wa hovyo kabisa kwa sababu hawawatakii mema wapalestina. Ndiyo hao wanajifanya wanawapenda, lakini ushauri wao ni wa kuwafanya wapalestina wakose na waangamie.

Mwaka 1947, Wapalestina walipewa 40% ya eneo la Gaza. Wayahudi walipewa 60%. Madai ya wapalestina yalikuwa madogo sana, wakidai kuwa Wayahudi wamepewa arshi nzuri kwa kilimo na pwani yote ya bahari ambayo ndiyo pekee inayowezesha uzushi.

Zikatokea nchi wanafiki za Kiarabu, yakawaambia wapalestina wagomee hiyo 40%, na kwamba nchi hizo zitawasaidia kuhakikisha wayahudi wanateketezwa, na wao wapalestina watapewa eneo lote. Nao wakaamini na kukubali. Mwaka 1948 wakaanzisha vita. Matokeo yake wakapigwa, na Israel ikachukua 60% ya ile 40%. Iran na baadhi ya mataifa mengine ya kiarabu, wakaendelea kuwadanganya wapalestina kuwa eti watawaondoa wayahudi. Mwaka 1967, wakapigwa vibaya, na wayahudi wakachukua maeneo mengine. Vita vya kila mwaka vinaua maelfu ya wapalestina, lakini waarabu wanaendelea kuwadanganya wapalestina, na kwamba waendelee kufanya mashambulizi shidi ya Israel. Kila shambulizi wanalofanya, wapalestina wanakufa karibia mara 15 ya Waisrael, lakini wale wanafiki wanaendelea kuwadanganya wapalestina.
Unaweza kutoa sababu iliyopelelea Palestina iliyokuwa na Raia Milion 1.4 ipewe 40% na huku Israel iliyolikuwa na Raia laki 6 akipewa hiyo 60%?
 
Unaweza kutoa sababu iliyopelelea Palestina iliyokuwa na Raia Milion 1.4 ipewe 40% na huku Israel iliyolikuwa na Raia laki 6 akipewa hiyo 60%?
Mimi siwezi kutoa sababu kwa sabau sikuwepo wakati huo, na sijawahi kuyaona yale mapendekezo ya kamati ya UN iliyotumwa huko Palestine na kisha kutoa mapendekezo hayo.

Ninachoweza kusema hapa ni hisia zangu.

Kwanza sijui hiyo taarifa ya kuwa mwaka 1947, waarabu pale Palestine walikuwa 1.4m na Wayahudi walikuwa 0.7m, umeipata wapi.

Ninachojua ni kwamba mwaka 1947, kulikuwa na wakazi 1,970 ndani ya Palestine land. Kati ya hao, wayahudi walikuwa 630,000; wakristo wa jamii nyingine 143,000; na waarabu 1,181,000. Na hiyo ni baada ya Wayahudi wengi kutawanyika kwenda Ulaya. Lakini wakati huo huo, jumla ya wayahudi wote mwaka huo wa 1947, kwa kumbukumbu zilizopo, walikuwa 11,500,000 (hiyo ni baada ya Hitler kuwaua 6,000,000).

Ifahamike kuwa kuanzia karne ya 1 mpaka ya 5, eneo hilo lote, majority population ilikuwa Wayahudi. Waarabu walianza kuwa major population kuanzia karne ya 12.

Yawezekana kuwapa Wayahudi karibia 60% (more precisely ni 55%) ilizingatia population ya Wayahudi ya wakati huo ambayo ilikuwa 11.5m (ukijumlisha na wale waliokuwa wakiishi nje ya Palestina) ukilinganisha na 1.18m ya population ya Waarabu.
 
Back
Top Bottom