Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 6,394
- 17,528
Afadhali Israel hutoa ultimatum kwa raia kuondoka maeneo watakayoshambulia, lakini sio kama hao magaidi wanao select watu individually, na kuwapiga risasi huku wakichekelea.
Sijui kwanini unalazimisha IDF wawekwe kwenye kundi moja na hao magaidi, lile ni jeshi kamili linalotambulika kote ulimwenguni, lenye mafunzo ndio maana halina muda wa kuvizia raia mitaani, wakati Hamas ni kundi la wahuni wasio hata na sare, wanaoua watu hovyo kwa kuwateka mitaani.
- Magaidi mengi huwa hayana sare,hata yale ya kule Somalia yako hivyo hivyo.
Tabia za gaidi umeshaambiwa na mleta mada ni kuua watu hovyo bila kujali uraia wao, magaidi ni sawa na wendawazimu wenye silaha za moto, hawatumii akili zao kwenye kutenda uhalifu wao, narudia tena; afadhali ya hao IDF huua pale ambapo wameshatoa ultimatum huku wahanga wakiwa tayari na taarifa.
Siioni double standard yoyote hapo.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hakuna mwenye afadhali kama tumeamua kuwaita Hamas magaidi hatuna budi kuwaita IDF magaidi pia maana nao hutumia mbinu ileile....
Umeshasema ni jeshi kamili lenye utalaam na mafunzo, kwanini lisitumie huo utalaam kuua magaidi tu na kuacha wasio magaidi, kwanini wawalazimishe watu kwenda ukimbizini na si kutumia utalaam wao kupambana na hao magaidi?..
Umeshasema IDF ni jeshi kamili linalosema lina haki ya kujilinda, Je hawa ambao wamezungukwa kila kona na kuzuiwa kuwa na jeshi wala kuingiza silaha na utalaam wa kijeshi wanajilindaje?
Hamas watakula bikra za ajabu ajabu sana