Ile akili ya kumpokea Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais ilitoka kwenye hili kundi la g55. Haiwezekani mtu ajiunge siku hiyohiyo chamani na umpe cheo!
Mimi binafsi iwapo hakutakuwapo mgombea wa CHADEMA, nitapiga kura kwa mgombea wa CHAUMMA.
Naiunga mkono CHADEMA mara zote, ila pia sikupenda kumuachia nyani shamba la mahindi hata kama ananipa hasara