PreGE2025 G55 Moshi na Temeke waondoka CHADEMA

PreGE2025 G55 Moshi na Temeke waondoka CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
hii itasaidia kupunguza bei ya kitanda kwa mtanzania wa kawaida pale muhimbili?
kwa sasa ni shilingi elfu 50000 kwa siku. hili hata mama yako na wewe mnalijua.
ni watanzania wangapi wanaweza kulipia gharama za kitanda za shilingi elfu 50000/= kwa siku?
je chadema na ccm nani alipelekea gharama hizi kufikia hapo ? jitafakari.
chadema siyo adui wa watanzania. adui wa watanzania ni ccm ndo mana hata mwenyekiti alijipitisha mwenyewe kuwa mgombea pale dodoma
Ndio mkuu, maana wanakula ruzuku ya bure
 
Babeli ya Lumumba mbioni KUANGUKA!! EU yapiga jaramba na NYUNDO tani 20 ....sasa wanahanya ULIMI NJEE
 
Kwa kasi ya viongozi wa chadema kuachia ngazi, mpaka kufikia uchaguzi mkuu kitakuwa having uongozi wowote mikoani.

Sisi wapambanaji wa chadema online tuwe makini, inaweza kuwa chama saiti hakipo sisi tunahangaika kuchoma bando
hakuna shida, sometimes ni vizuri kuanza from zero!

kwa uozo tunaouona kwa sasa, haina jinsi lazima kuanza na moja

Tuna Imani na TAL, Heche, Golugwa, Mnyika na timu nzima CDM 2025
 
Kwa kasi ya viongozi wa chadema kuachia ngazi, mpaka kufikia uchaguzi mkuu kitakuwa having uongozi wowote mikoani.

Sisi wapambanaji wa chadema online tuwe makini, inaweza kuwa chama saiti hakipo sisi tunahangaika kuchoma bando
Zamu yetu keyboard worriers kuchukua hatamu.
Karibuni tugombee.
 
hakuna shida, sometimes ni vizuri kuanza from zero!

kwa uozo tunaouona kwa sasa, haina jinsi lazima kuanza na moja

Tuna Imani na TAL, Heche, Golugwa, Mnyika na timu nzima CDM 2025
Hapo toa Mnyika.
 
hakuna shida, sometimes ni vizuri kuanza from zero!

kwa uozo tunaouona kwa sasa, haina jinsi lazima kuanza na moja

Tuna Imani na TAL, Heche, Golugwa, Mnyika na timu nzima CDM 2025
Hakuna hata mmoja ambaye amehama anayekubalika na wananchi zaidi ya majangili na matapeli tupu
 
Ndio mkuu, maana wanakula ruzuku ya bure
ruzuku ya bure inaliwa nanani? ccm wao ruzuku yao ianenda wapi? ulikuwa wapi wakati magufuli anawanunua wabunge waliochaguliwa wa wananchi kisha anawarudisha wakagombee kwenye majimbo yale yale?
kama wanakula ruzuku ya bure sawa, so ndo maana bei ya KITANDA INAPANDA PALE MUHIMBILI HADI KUFIKIA ELFU 50000/=
Hata chadema ikifa leo bado bibi yako kijijini hawezi kulipa gharama za matibabu pale muhimbili na watoto wako wanasoma kayumba kwa kinachoitwa elimu bure
 
Kwa kasi ya viongozi wa chadema kuachia ngazi, mpaka kufikia uchaguzi mkuu kitakuwa having uongozi wowote mikoani.

Sisi wapambanaji wa chadema online tuwe makini, inaweza kuwa chama saiti hakipo sisi tunahangaika kuchoma bando
Wanawaka huku wakiteketea halafu wanakwambia wanaimarisha chama. Kila mtu anakimbia wao wanashangilia eti wanapendwa! Sijui hizi akili wanazitoa wapi!
 
🛑Mwisho wa Safari wa CHADEMA? Hali Tete Ndani ya CHADEMA Kufikia Juni 30, 2025: Viongozi wa Kanda na Wanachama Wakimbia Kwa Kasi

Mwanaharakati Huru Tanzania;

Katika siku za hivi karibuni, hali ya sintofahamu na mtikisiko wa kiuongozi ndani ya chadema imefikia kiwango cha juu kiasi cha kuibua hofu na maswali miongoni mwa wanachama, wanaharakati, na wachambuzi wa masuala ya kisiasa. Habari kutoka ndani ya vikao vya siri na taarifa za vyanzo mbalimbali zinaashiria kuwa kufikia Juni 30, 2025 chama hiki huenda kikawa kimepoteza uhai wake wa kisiasa kufuatia wimbi kubwa la wanachama na viongozi wa kanda kukihama.

Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, tayari baadhi ya viongozi wa ngazi za juu katika kanda mbalimbali wamekwisha andika barua za kujiondoa, huku wengine wakiwa katika hatua za mwisho za kujiunga na vyama vingine au kuanzisha harakati mpya za kisiasa. Hali hii inatokana na kile wanachokiita “kukosekana kwa mwelekeo, demokrasia ya ndani, na kutotambua mchango wa wanachama halisi.”

Wanachama wengi wanalalamikia kile walichokiita ufisadi wa kisiasa, ukandamizaji wa mawazo mbadala, na mwelekeo wa chama kuendeshwa kama mali binafsi ya watu wachache. Vuguvugu la mageuzi ya ndani ya chama lililokuwa limepigiwa chapuo mwaka jana sasa limegeuzwa kuwa kumbukumbu ya huzuni kwa wanaharakati waliokuwa na matumaini ya kweli ya mabadiliko.

“Hatukujiunga na chama kwa ajili ya watu binafsi, bali kwa ajili ya kusukuma mbele ajenda ya wananchi. Hali ilivyo sasa ni ya kusikitisha,” amesema mmoja wa viongozi wa zamani wa kanda, ambaye hakutaka jina lake litajwe kwa sababu za kiusalama.

Vuguvugu hili la kuhama linaweza kupelekea chama kuingia kwenye hali ya kutoaminika miongoni mwa wananchi, hasa ikiwa hakuna hatua za haraka na za wazi zitakazochukuliwa kurejesha imani ya wanachama wa kawaida na wale wa ngazi za juu.

Wanaharakati na wachambuzi wa kisiasa wanatoa wito kwa uongozi wa juu wa chama kuacha siasa za ubinafsi na kuchukua hatua za kurejesha umoja, heshima ya wanachama, na kuelekeza nguvu katika masuala ya msingi yanayowakumba wananchi.

HITIMISHO:

Kama hali hii haitapatiwa ufumbuzi wa haraka na wa dhati, basi si ajabu kwamba kufikia Juni 30, 2025 CHADEMA kitakuwa kimebakia historia tu. Huu ni wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa ajili ya mustakabali wa chama na nchi. Wanachama wa kweli, wanaharakati na wapenda mageuzi wanahitaji kuamka sasa—kabla pazia halijafungwa kabisa.
 

Attachments

  • IMG-20250512-WA0679(1).jpg
    IMG-20250512-WA0679(1).jpg
    64 KB · Views: 7
Mnapanga mpaka tarehe kumbe hata kubambikia kesi lissu mlipanga.
Sio shida hata JApan ilisafishwa na mabomu ila leo ndio imekuwa inakupatia magari na msaada we kichwa kisoda cha balimi.
 
🛑Mwisho wa Safari wa CHADEMA? Hali Tete Ndani ya CHADEMA Kufikia Juni 30, 2025: Viongozi wa Kanda na Wanachama Wakimbia Kwa Kasi

Mwanaharakati Huru Tanzania;

Katika siku za hivi karibuni, hali ya sintofahamu na mtikisiko wa kiuongozi ndani ya chadema imefikia kiwango cha juu kiasi cha kuibua hofu na maswali miongoni mwa wanachama, wanaharakati, na wachambuzi wa masuala ya kisiasa. Habari kutoka ndani ya vikao vya siri na taarifa za vyanzo mbalimbali zinaashiria kuwa kufikia Juni 30, 2025 chama hiki huenda kikawa kimepoteza uhai wake wa kisiasa kufuatia wimbi kubwa la wanachama na viongozi wa kanda kukihama.

Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, tayari baadhi ya viongozi wa ngazi za juu katika kanda mbalimbali wamekwisha andika barua za kujiondoa, huku wengine wakiwa katika hatua za mwisho za kujiunga na vyama vingine au kuanzisha harakati mpya za kisiasa. Hali hii inatokana na kile wanachokiita “kukosekana kwa mwelekeo, demokrasia ya ndani, na kutotambua mchango wa wanachama halisi.”

Wanachama wengi wanalalamikia kile walichokiita ufisadi wa kisiasa, ukandamizaji wa mawazo mbadala, na mwelekeo wa chama kuendeshwa kama mali binafsi ya watu wachache. Vuguvugu la mageuzi ya ndani ya chama lililokuwa limepigiwa chapuo mwaka jana sasa limegeuzwa kuwa kumbukumbu ya huzuni kwa wanaharakati waliokuwa na matumaini ya kweli ya mabadiliko.

“Hatukujiunga na chama kwa ajili ya watu binafsi, bali kwa ajili ya kusukuma mbele ajenda ya wananchi. Hali ilivyo sasa ni ya kusikitisha,” amesema mmoja wa viongozi wa zamani wa kanda, ambaye hakutaka jina lake litajwe kwa sababu za kiusalama.

Vuguvugu hili la kuhama linaweza kupelekea chama kuingia kwenye hali ya kutoaminika miongoni mwa wananchi, hasa ikiwa hakuna hatua za haraka na za wazi zitakazochukuliwa kurejesha imani ya wanachama wa kawaida na wale wa ngazi za juu.

Wanaharakati na wachambuzi wa kisiasa wanatoa wito kwa uongozi wa juu wa chama kuacha siasa za ubinafsi na kuchukua hatua za kurejesha umoja, heshima ya wanachama, na kuelekeza nguvu katika masuala ya msingi yanayowakumba wananchi.

HITIMISHO:

Kama hali hii haitapatiwa ufumbuzi wa haraka na wa dhati, basi si ajabu kwamba kufikia Juni 30, 2025 CHADEMA kitakuwa kimebakia historia tu. Huu ni wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa ajili ya mustakabali wa chama na nchi. Wanachama wa kweli, wanaharakati na wapenda mageuzi wanahitaji kuamka sasa—kabla pazia halijafungwa kabisa.
ukurupukaji, uropokaji na agenda sisizo na tija ni hatari sana kwa ustawi wa vyama vya siasa nchini.

Na waTanzania wengi hivi sasa wameerevuka sana na wana uelewa na ufahamu wa kutosha zaidi juu ya haki na uhuru wao wa kikatiba na kuwafanya wawe makini sana kutahimini na kupima faida na hasara za agenda za vyama vyao na hatimae kufanya maamuzi sahihi yanayo linda haki na uhuru wao wa kushiriki chaguzi za kikatiba na kuamua mustakabali wa Taifa lao :pulpTRAVOLTA:
 
🛑Mwisho wa Safari wa CHADEMA? Hali Tete Ndani ya CHADEMA Kufikia Juni 30, 2025: Viongozi wa Kanda na Wanachama Wakimbia Kwa Kasi

Mwanaharakati Huru Tanzania;

Katika siku za hivi karibuni, hali ya sintofahamu na mtikisiko wa kiuongozi ndani ya chadema imefikia kiwango cha juu kiasi cha kuibua hofu na maswali miongoni mwa wanachama, wanaharakati, na wachambuzi wa masuala ya kisiasa. Habari kutoka ndani ya vikao vya siri na taarifa za vyanzo mbalimbali zinaashiria kuwa kufikia Juni 30, 2025 chama hiki huenda kikawa kimepoteza uhai wake wa kisiasa kufuatia wimbi kubwa la wanachama na viongozi wa kanda kukihama.

Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, tayari baadhi ya viongozi wa ngazi za juu katika kanda mbalimbali wamekwisha andika barua za kujiondoa, huku wengine wakiwa katika hatua za mwisho za kujiunga na vyama vingine au kuanzisha harakati mpya za kisiasa. Hali hii inatokana na kile wanachokiita “kukosekana kwa mwelekeo, demokrasia ya ndani, na kutotambua mchango wa wanachama halisi.”

Wanachama wengi wanalalamikia kile walichokiita ufisadi wa kisiasa, ukandamizaji wa mawazo mbadala, na mwelekeo wa chama kuendeshwa kama mali binafsi ya watu wachache. Vuguvugu la mageuzi ya ndani ya chama lililokuwa limepigiwa chapuo mwaka jana sasa limegeuzwa kuwa kumbukumbu ya huzuni kwa wanaharakati waliokuwa na matumaini ya kweli ya mabadiliko.

“Hatukujiunga na chama kwa ajili ya watu binafsi, bali kwa ajili ya kusukuma mbele ajenda ya wananchi. Hali ilivyo sasa ni ya kusikitisha,” amesema mmoja wa viongozi wa zamani wa kanda, ambaye hakutaka jina lake litajwe kwa sababu za kiusalama.

Vuguvugu hili la kuhama linaweza kupelekea chama kuingia kwenye hali ya kutoaminika miongoni mwa wananchi, hasa ikiwa hakuna hatua za haraka na za wazi zitakazochukuliwa kurejesha imani ya wanachama wa kawaida na wale wa ngazi za juu.

Wanaharakati na wachambuzi wa kisiasa wanatoa wito kwa uongozi wa juu wa chama kuacha siasa za ubinafsi na kuchukua hatua za kurejesha umoja, heshima ya wanachama, na kuelekeza nguvu katika masuala ya msingi yanayowakumba wananchi.

HITIMISHO:

Kama hali hii haitapatiwa ufumbuzi wa haraka na wa dhati, basi si ajabu kwamba kufikia Juni 30, 2025 CHADEMA kitakuwa kimebakia historia tu. Huu ni wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa ajili ya mustakabali wa chama na nchi. Wanachama wa kweli, wanaharakati na wapenda mageuzi wanahitaji kuamka sasa—kabla pazia halijafungwa kabisa.
Wala hakuna mpasuko wowote CDM bahari inajisafisha chama ni watu hizo chuya chache ndani ya mchele haziwezi kuleta madhara yoyote kwenye gynia la mchele wata wanao hama chama wanasema shida yao ni Kugombani ubunge udiwani na urais. Sasa hicho kitawaathiri ni nini wanachama wakawaida wasikuwa na haja yoyote ya cheo chochote.Hao wanaotaka kugombania ubunge waende wakagombanie kwani CDM ina shida na mto ,CDM inaweza kuishi bila Ruzuku ,bila senti tano ya mtu na chama kikaendele.kwani hiyo miaka yote Ruzuku si ilikuwa inatumika makao makuu tu kujilipa posho mbona chama huko mikoani kimekuwa kikubwa na kila mkoa na wilaya wamejenga ofisi bila hata senti tano ya Ruzuku.Wao waende chama kitajipanga kitasonga mbele.CDM siyo chama chakutishiwa nyau.Kwanza nawapongeza sanna watu wanaochangamkia huu ulaji ,ata mimmi ukinipitia nachukua.
 
🛑Mwisho wa Safari wa CHADEMA? Hali Tete Ndani ya CHADEMA Kufikia Juni 30, 2025: Viongozi wa Kanda na Wanachama Wakimbia Kwa Kasi

Mwanaharakati Huru Tanzania;

Katika siku za hivi karibuni, hali ya sintofahamu na mtikisiko wa kiuongozi ndani ya chadema imefikia kiwango cha juu kiasi cha kuibua hofu na maswali miongoni mwa wanachama, wanaharakati, na wachambuzi wa masuala ya kisiasa. Habari kutoka ndani ya vikao vya siri na taarifa za vyanzo mbalimbali zinaashiria kuwa kufikia Juni 30, 2025 chama hiki huenda kikawa kimepoteza uhai wake wa kisiasa kufuatia wimbi kubwa la wanachama na viongozi wa kanda kukihama.

Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, tayari baadhi ya viongozi wa ngazi za juu katika kanda mbalimbali wamekwisha andika barua za kujiondoa, huku wengine wakiwa katika hatua za mwisho za kujiunga na vyama vingine au kuanzisha harakati mpya za kisiasa. Hali hii inatokana na kile wanachokiita “kukosekana kwa mwelekeo, demokrasia ya ndani, na kutotambua mchango wa wanachama halisi.”

Wanachama wengi wanalalamikia kile walichokiita ufisadi wa kisiasa, ukandamizaji wa mawazo mbadala, na mwelekeo wa chama kuendeshwa kama mali binafsi ya watu wachache. Vuguvugu la mageuzi ya ndani ya chama lililokuwa limepigiwa chapuo mwaka jana sasa limegeuzwa kuwa kumbukumbu ya huzuni kwa wanaharakati waliokuwa na matumaini ya kweli ya mabadiliko.

“Hatukujiunga na chama kwa ajili ya watu binafsi, bali kwa ajili ya kusukuma mbele ajenda ya wananchi. Hali ilivyo sasa ni ya kusikitisha,” amesema mmoja wa viongozi wa zamani wa kanda, ambaye hakutaka jina lake litajwe kwa sababu za kiusalama.

Vuguvugu hili la kuhama linaweza kupelekea chama kuingia kwenye hali ya kutoaminika miongoni mwa wananchi, hasa ikiwa hakuna hatua za haraka na za wazi zitakazochukuliwa kurejesha imani ya wanachama wa kawaida na wale wa ngazi za juu.

Wanaharakati na wachambuzi wa kisiasa wanatoa wito kwa uongozi wa juu wa chama kuacha siasa za ubinafsi na kuchukua hatua za kurejesha umoja, heshima ya wanachama, na kuelekeza nguvu katika masuala ya msingi yanayowakumba wananchi.

HITIMISHO:

Kama hali hii haitapatiwa ufumbuzi wa haraka na wa dhati, basi si ajabu kwamba kufikia Juni 30, 2025 CHADEMA kitakuwa kimebakia historia tu. Huu ni wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa ajili ya mustakabali wa chama na nchi. Wanachama wa kweli, wanaharakati na wapenda mageuzi wanahitaji kuamka sasa—kabla pazia halijafungwa kabisa.
Chadema itakufa ila wa kuzikwa atakuwa CCM
 
Kwenye msafara wa mamba na kenge wama. Hao wanao ondoka ni kenge. Nivizuri waondoke chama kibaki cheupe
 
Back
Top Bottom