FUTUHI LEO SIJAWAELEWA MMEELIMISHA NINI JAMII

FUTUHI LEO SIJAWAELEWA MMEELIMISHA NINI JAMII

G'taxi

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
6,651
Reaction score
8,699
Katika kipindi cha FUTUHI sasa hivi kinachoendelea,kuna ile wanaita sijui mtafiti,ameongea swala la wanandoa,akisema kwa sasa wanaume wamekua na mfumo dume,ni vyema wanawake kama amezaa watoto wanne ajitahidi azae nje ili apate mtoto wa uzao mwingine kuchangamsha familia kuliko kua na watoto wa baba mmoja mwenye mfumo dume.ni bola mwanamke awe na kamchepuko nje,leo sijawaelewa mmefundisha nini hasa Brother K.maana ndo ulikua unaongea,ni kama umepolomosha maadili ktk jamii badala ya kuyajenga.
 
Hiyo fani ya uchekeshaji waliondoka nayo kina mzee jongo mzee kipara kina pwagu na pwaguzi mama haambiliki hawa wote walishaenda mbele ya haki siku hizi hawa wasanii wenu bora mkono uende kinywani suala la kuelimisha halipo.
 
Back
Top Bottom