Nauliza tu, Kitendo cha Kufturu Nimuendelezo wa Ibada?
takbeer!kuna ndugu zangu wapo london, wanasema kitendo kilileta nuru ya ajabu na wasio waislam wengi sana iliwaingia hiyo nuru na kusilimu hapo hapo.
nuru ililetwa na chakula cha bure,ofcourse mateja walisilimu ili wale bure kila siku na pesa za welfare wakanunulie madawaKuna ndugu zangu wapo London, wanasema kitendo kilileta Nuru ya ajabu na wasio Waislam wengi sana iliwaingia hiyo Nuru na kusilimu hapo hapo.
The fastest growing religion in Europe is Islam:
acha ubwege we mama.
wanaofturu hapo ni waislamu kutoka nchi mbalimbali dunia nzima,yes na waafrika wapo,wazungu waliopo hapo ni wale homeless wa mitaani na Waromania.
kilichopo ni kwamba UK wamekubali kulegeza sheria za kiislam hasa kipindi hiki cha mwezi mtukufu.
Nakumbuka nilipokuwa kijana mdogo kule kwetu tulikuwa na waislamu wachache lakini wakarimu sana,enzi hizo hizo watu walikuwa wanafuturu hadharani ukifika muda wa kufuturu ,jamvi lilitandikwa nje na yoyote aliyekuwa anapita maeneo ya makazi hayo hata asie muislamu alikaribishwa bila kuulizwa hata dini yake,maadamu ni mwanadamu unapita basi ilikuwa ni karibu,tena karibu ya moyoni na si ya kiswahili,enzi zile kulikuwa hakuna mambo ya ''kuuza futari''barabarani au mahotelini ,wakati huo ilikuwa ni thawabu kubwa kumkaribisha mpita njia kufuturu kwenye mkeka barazani nje,siku hizi mambo yamebadilika futari ni sebuleni na kwa wanaojuana tu.
Daa!! Wewe kiboko huo mchanganyanyiko balaa lazima utengeneze nishati.niliwahi mpa kampani ya kufunga lafiki yangu,maremu kwa sasa, niliangaika na njaa mchana kutwa.ilpofika saa kumi tumbo likatulia. ikafika muda wa futuru. nikala vyakura vingi na tofauti! uji, mchanxganyiko wa viazi maharage,chai,ccacola, juice, maji, dagaa wa kukaanga, kidogo badae muwa mara togwaa ya kuloweka, sambusa kidogo tu wali nyama, samaki kidogo pilau. ndugu yangu niliimwa tumbo badae usiikie, chenchi za kutosha nikaludisha. mida ya saa tano tulikuwa mtaani huko ndio nilialibu yani ikanibidi nifanye kweri mtaroni. hii abari mpaka upewe elimu yake ndio ufunge.usiparamie bira elimu.
Daa!! Wewe kiboko huo mchanganyanyiko balaa lazima utengeneze nishati.
niliwahi mpa kampani ya kufunga lafiki yangu,maremu kwa sasa, niliangaika na njaa mchana kutwa.ilpofika saa kumi tumbo likatulia. ikafika muda wa futuru. nikala vyakura vingi na tofauti! uji, mchanxganyiko wa viazi maharage,chai,ccacola, juice, maji, dagaa wa kukaanga, kidogo badae muwa mara togwaa ya kuloweka, sambusa kidogo tu wali nyama, samaki kidogo pilau. ndugu yangu niliimwa tumbo badae usiikie, chenchi za kutosha nikaludisha. mida ya saa tano tulikuwa mtaani huko ndio nilialibu yani ikanibidi nifanye kweri mtaroni. hii abari mpaka upewe elimu yake ndio ufunge.usiparamie bira elimu.