Futari ya Bond Street London

Futari ya Bond Street London

Naona Watakatifu wanaenjoy katika nchi ya makafir kwa Cameroon teh teh teh!
wakristo wanaheshimu uwepo wa wengine, live and let live is our slogan.
Hao ndo makafiri bwana, very social
 
Naamini hata nyie hamna rukhsa ya kutumia lugha chafu na kukera msiokuwa nyie. Heshima kitu cha bure, ukijiheshimu utaheshimiwa.



Kuwa homeless au kuwa Raia wa Romania hailivui lile jina la Jumla tulilowapa la kuwa wazungu. Uwepo wao hao uliowaita wazungu homeless na Waromania ni kheri nyingine kuwa kwetu sie hawabaguliwi watu kutokana na utaifa, rangi na uwezo. Licha ya hayo, bado hauna ushahidi kuwa wazungu wasiokuwa homeless na Waromania hawakuhudhuria. Tupe ushahidi kutetea hoja yako kama u miongoni mwa wasemao ukweli.



Mmmh!! Sijui!! Kuna sheria za kiislamu UK? Kwa maana nyingine UK inatekeleza Sharia kipindi cha ramadhani  tu? na je kufuturisha hadharani ni kutekeleza sharia ipi ya kiislamu?

Nikushauri tu kuwa, isikupelekee chuki ikawa ni kikwazo kuwafanyia wenzio wasio wewe au jamii yako UADILIFU. Tekeleza uadilifu, kwani itakukurubisha kwenye UchaMungu.

#Peace


huu ni unafiki wa hali ya juu!! kila siku mnawalaani kwa kuhalalisha ushoga[their way of life FYI] na 'kuua' ndugu zenu waislamu iraq,libya,afghanstan etc.....leo mnachekelea wanawafuturisha!!!!
 
Naona Watakatifu wanaenjoy katika nchi ya makafir kwa Cameroon teh teh teh!
wakristo wanaheshimu uwepo wa wengine, live and let live is our slogan.
Hao ndo makafiri bwana, very social

hapa wanachekelea ku-practice dini yao kwa makafir lakini huko kwao hata kuvaa nguo uitakayo utapigwa mawe hadharani!!!
 
niliwahi mpa kampani ya kufunga lafiki yangu,maremu kwa sasa, niliangaika na njaa mchana kutwa.ilpofika saa kumi tumbo likatulia. ikafika muda wa futuru. nikala vyakura vingi na tofauti! uji, mchanxganyiko wa viazi maharage,chai,ccacola, juice, maji, dagaa wa kukaanga, kidogo badae muwa mara togwaa ya kuloweka, sambusa kidogo tu wali nyama, samaki kidogo pilau. ndugu yangu niliimwa tumbo badae usiikie, chenchi za kutosha nikaludisha. mida ya saa tano tulikuwa mtaani huko ndio nilialibu yani ikanibidi nifanye kweri mtaroni. hii abari mpaka upewe elimu yake ndio ufunge.usiparamie bira elimu.

Lazma ulitengeneza bomu mana hiyo mix yako ilikua hatari breki zilifeli kwa lazma
 
Nakumbuka nilipokuwa kijana mdogo kule kwetu tulikuwa na waislamu wachache lakini wakarimu sana,enzi hizo hizo watu walikuwa wanafuturu hadharani ukifika muda wa kufuturu ,jamvi lilitandikwa nje na yoyote aliyekuwa anapita maeneo ya makazi hayo hata asie muislamu alikaribishwa bila kuulizwa hata dini yake,maadamu ni mwanadamu unapita basi ilikuwa ni karibu,tena karibu ya moyoni na si ya kiswahili,enzi zile kulikuwa hakuna mambo ya ''kuuza futari''barabarani au mahotelini ,wakati huo ilikuwa ni thawabu kubwa kumkaribisha mpita njia kufuturu kwenye mkeka barazani nje,siku hizi mambo yamebadilika futari ni sebuleni na kwa wanaojuana tu.

Mi nakumbuka siku za iddi majirani tulikuwa tunaletewa ka 'hotipoti'
 
niliwahi mpa kampani ya kufunga lafiki yangu,maremu kwa sasa, niliangaika na njaa mchana kutwa.ilpofika saa kumi tumbo likatulia. ikafika muda wa futuru. nikala vyakura vingi na tofauti! uji, mchanxganyiko wa viazi maharage,chai,ccacola, juice, maji, dagaa wa kukaanga, kidogo badae muwa mara togwaa ya kuloweka, sambusa kidogo tu wali nyama, samaki kidogo pilau. ndugu yangu niliimwa tumbo badae usiikie, chenchi za kutosha nikaludisha. mida ya saa tano tulikuwa mtaani huko ndio nilialibu yani ikanibidi nifanye kweri mtaroni. hii abari mpaka upewe elimu yake ndio ufunge.usiparamie bira elimu.

= rafiki
= kuroweka
= nikarudisha
= niliharibu
= kweli
= habari
 
Jamiiforums burudani sana, yaani topics kama hizi utakuta watu wengi tena wengine huwa wanachangia topics nyingine vizuri tu, lakini kwenye hizi topics za imani na dini wote wanajitoa ufahamu na kujifanya wendawazimu. Wanarusha matusi huku na kule.
 
Jamiiforums burudani sana, yaani topics kama hizi utakuta watu wengi tena wengine huwa wanachangia topics nyingine vizuri tu, lakini kwenye hizi topics za imani na dini wote wanajitoa ufahamu na kujifanya wendawazimu. Wanarusha matusi huku na kule.

Watu kama hao ujuwe wana maradhi ndani ya mioyo yao na huzidishiwa hayo maradhi kila kukicha.
 
Kuna ndugu zangu wapo London, wanasema kitendo kilileta Nuru ya ajabu na wasio Waislam wengi sana iliwaingia hiyo Nuru na kusilimu hapo hapo.

Duuu sasa huu uwongo kula tu mtu asilimu labda chakula kiliwekwa limbwata.
 
Watu kama hao ujuwe wana maradhi ndani ya mioyo yao na huzidishiwa hayo maradhi kila kukicha.

Basi wewe utakuwa ICU. Maana wewe pia ni kinara wa kejeli kwetu sisi makafiri.Naona ndugu zetu katika imani wanakula futari kwa amani kabisa kwa ------ Mkuu Cameroon
 
hapa wanachekelea ku-practice dini yao kwa makafir lakini huko kwao hata kuvaa nguo uitakayo utapigwa mawe hadharani!!!

Ndo hivo ndugu yangu.Kaka yangu aliwahi kusoma na hawa viumbe kwenye shule yao, alichokipitia kilinishangaza.Hata kukaa nae tu karibu wakati mwingine mtu anakunyanyapaa kisa -----
 
nuru ililetwa na chakula cha bure,ofcourse mateja walisilimu ili wale bure kila siku na pesa za welfare wakanunulie madawa

Umeona picha hizo lakini? na umesoma kilichoandikwa? au imekuuma?
 
hapa wanachekelea ku-practice dini yao kwa makafir lakini huko kwao hata kuvaa nguo uitakayo utapigwa mawe hadharani!!!

Wacha uongo, leta ushahidi.

Au kutembea karibia uchi ndiyo unaongelea "nguo uitakayo"? imani yako ilikufundisha hivyo? maana dini ni kwa Mwenyeezi Mungu ni moja tu, kujisalimisha kwake, aka Uislam, nje ya hapo hauna dini.
 
Back
Top Bottom