Futari ya Bond Street London

Futari ya Bond Street London

Wacha uongo, leta ushahidi.

Au kutembea karibia uchi ndiyo unaongelea "nguo uitakayo"? imani yako ilikufundisha hivyo? maana dini ni kwa Mwenyeezi Mungu ni moja tu, kujisalimisha kwake, aka Uislam, nje ya hapo hauna dini.

wenzio leo wamepiga watu magongo kisa wamekula! haya endelea kushangilia futari ya ------ anaetukuza ushoga!
 
Wacha uongo, leta ushahidi.

Au kutembea karibia uchi ndiyo unaongelea "nguo uitakayo"? imani yako ilikufundisha hivyo? maana dini ni kwa Mwenyeezi Mungu ni moja tu, kujisalimisha kwake, aka Uislam, nje ya hapo hauna dini.

Sawa mfia dini tumekuelewa!
 
Andaeni futari basi na hapa bongo watu tusilimu!
 
Excel hautaalikwaaa hahahaaa

hahaa! kwanza nani ataanza?
Mengi? Bakhresa? ah wapi...!
Bongo ya leo sio kama ya kipindi kile, wabongo walivyo wazembe, ujue hata kwake hatapika...:flame:
 
Watu naona maneno ya kejeli na dharau yanawatoka.hampendi lakini vumilieni tu wazee.if you can't beat them join them.
 
huu ni unafiki wa hali ya juu!! kila siku mnawalaani kwa kuhalalisha ushoga[their way of life FYI] na 'kuua' ndugu zenu waislamu iraq,libya,afghanstan etc.....leo mnachekelea wanawafuturisha!!!!

Possibly you don't know what you are talking about, have you read the thread?

#Peace
 
Watu kama hao ujuwe wana maradhi ndani ya mioyo yao na huzidishiwa hayo maradhi kila kukicha.

Mi huwa sikubaliani kabisa na mtu ambaye anakosa hoja na kuanza kuleta matusi kwenye uzi wa mwenzie, ukiuliza nini eti sababu tu ni wa imani nyingine. Yaani kuna watu wanatia kiny'aa humu jukwaani.
 
mtoa post yupo sahh sasa nyie vijuso mna wivu km mmezaliwa kwny matumbo ya nguruwe wanaharamu nyie makafiri wakubwa majini ndorobo nyie kafieni mbali wajalaana pimbi nyie
 
huu ni unafiki wa hali ya juu!! kila siku mnawalaani kwa kuhalalisha ushoga[their way of life FYI] na 'kuua' ndugu zenu waislamu iraq,libya,afghanstan etc.....leo mnachekelea wanawafuturisha!!!!

Wacha kuleta maneno ya upako hapa.
Ushoga wanahalalisha Makafiri.
Waliofuturisha ni Waislamu.
Na kwa taarifa tu. Dini pekee yenye kuupinga Ushoga Hadharani ndani ya Uingereza na kokote duniani bila kujali au kuogopa lawama ni UISLAMU.
Wakati huo huo makanisa yanasaidia kuupa promo kwa kuruhusu Ndoa hizo kufungwa makanisani.
Hii hata Yesu alikataza lkn Nyie sio wafuasi wa Yesu wa Asili bali mnamfuata Lucifier the devil.
 
mtoa post yupo sahh sasa nyie vijuso mna wivu km mmezaliwa kwny matumbo ya nguruwe wanaharamu nyie makafiri wakubwa majini ndorobo nyie kafieni mbali wajalaana pimbi nyie

Faiza Fox umefunga kweli Weye? Kitu gani hii una like? Mbona huwa nakuhishim?
 
Back
Top Bottom