Fuso Mayai Inauzwa

Fuso Mayai Inauzwa

Zainab Tamim

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
1,293
Reaction score
583
DSC_0038.JPG
For Sale...
Fuso mayai, long body na crane..

Engine, gear box, dif, safi kabisa...


Inahitaji tairi 6 zilizopo zimechoka na rim mbili, crane inahitaji matengenezo ya kuweka crane wire mpya na pulleys mbili. Body nyuma inahitaji floor mpya.
Inahitaji show ya mbele.

Bei 40m kwa aliye serious mpigie Mzee Abdul 0625249605 tunatoa gharama za matengenezo yaliotajwa.

Gari ipo Kibaha Misugusugu.
 
Mi nimekuja kuiona hiyo Fuso ya Mayai tu. Lakini hamna picha.

sent by Samson Cyper
 
tengeneza kwanza utauza bei nzuri. hizi ni gari za kazi. utitiri wa hitilafu ulizoainisha unamtia shaka mteja na huenda akapata tashwishwi kuna mwingine umeachwa hasa injini na chassis.

Yaan mil 40 alafu na utitiri wa hitilafu karibu mil 30 ununue fuso namba B kwa mil 70 utakuwa ni mental
 
tengeneza kwanza utauza bei nzuri. hizi ni gari za kazi. utitiri wa hitilafu ulizoainisha unamtia shaka mteja na huenda akapata tashwishwi kuna mwingine umeachwa hasa injini na chassis.

Nikiitengeneza sitaiuza.

Hakuna "utitiri wa hitilafu". Vitu vinavyohitajika vyote ni normal wear and tear. Kasoro show ya mbele tu ambayo nimeiulizia, original ya mtumba ni laki tatu na nusu.

Tairi zipo lakini si recommend kutumika kwa kazi.

Floor ya nyuma ni mbao tu za softwood ambazo na ufundi wake hazizidi 200,000 matengenezo yake.

Crane inafanya kazi, pulley na wire vimelika tu.

Engine, gear box, diff, vyote ni vizima kabisa. Unawasha gari na kuijaribu. Nimeweka wazi mambo yote ili nisisumbue mwenye kuihitaji.

Napenda kuuza kama ilivyo. Sina muda wa kusimamia matengenezo nilioyataja na niliacha biashara hiyo.

Karibu sana.
 
Hilo gari halina thamani ya Mil. 40
 
Wacheni porojo Mbowe aliwauzia chadema kwa million 600 kama hilo.

Bi Zainab Tamim, hawa waswma hivyo wasikusumbuwe utakuta hawana hata baiskeli.
Hapana Faiza usiweke siasa hapa, acha siasa kwenye biashara. Hujengi bali unaharibu biashara yake maana watu watahamia kwenye siasa.

Binafsi nimefika hadi gari ilipo kwa Mzee Abdul na gari iko vizuri kwa anayejua magari maana hio sio gari tu bali ni Mtaji wa Kibiashara. Kwa sasa Dar kuikodisha kwa kazi moja tu, sio chini ya 200,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan mil 40 alafu na utitiri wa hitilafu karibu mil 30 ununue fuso namba B kwa mil 70 utakuwa ni mental
Wewe huna pesa, huna Gari wala hujawahi kuwa na gari.

Hilo ni Fuso gari la biashara. Gari la biashara kufa kwake ni kupata ajali tu.

Mradi kishasema engine safi, gear safi, hayo mengine matatizo madogo kama show ya mbele, mbao za floor ni tank kurekebisha ka m kwa madakika tu.

Nnamsifu sana Bi Zainab kawa very honest katika hili na hataki kudanganya na kayaweka wazi matatizo madogo madogo. Si rahisi kupata mfanya biashara namna hii.

Watanzania mmezowea kudanganyana. Huyo Bi Zainab ameonyeeha wazi kuwa hachezi na mizani. Nimependa sana alivyo honest kwenye biashara yake na kuelezea vitatizo vidogo vyote. Kama ni mnunuzi wa kweli ungelielewa hilo na ungefurahia badala ya kuponda.
 
Hapana Faiza usiweke siasa hapa, acha siasa kwenye biashara. Hujengi bali unaharibu biashara yake maana watu watahamia kwenye siasa.

Binafsi nimefika hadi gari ilipo kwa Mzee Abdul na gari iko vizuri kwa anayejua magari maana hio sio gari tu bali ni Mtaji wa Kibiashara. Kwa sasa Dar kuikodisha kwa kazi moja tu, sio chini ya 200,000

Sent using Jamii Forums mobile app
Nisingeweka siasa ungejitokeza na kusema ukweli? Mbona ulikaa kimya na ilhali umeshakwenda mpaka kwa Bi Zainab?

Kabla ya kuandika haya, jana usiku nilikuwa naongea na mumewe Bi Zainab kwa simu, akanieleza kuwa gari unaweka battery na kuliwasha, kila kitu kinafanya kazi limeegeshwa tu kwa muda mrefu.

Nnawashangaa hao mahasidi wanaopayuka hovyo. Kama wanunuzi wa kweli wangeenda kuona waka bargain. Ni heri wewe umekwenda na kujionea mwenyewe.
 
Wewe huna pesa, huna Gari wala hujawahi kuwa na gari.

Hilo ni Fuso gari la biashara. Gari la biashara kufa kwake ni Kipata ajali tu.

Mradi kishasema engine safi, gear safi, hayo mengine matatizo madogo kama show ya mbele, mgao za za bodies namsifu sana Bi Zainab kawa very honest hataki kudanganya na kayaweka wazi.

Watanzania mmezowea kudanganyana. Huyo Bi Zainab hachezi na mizani. Nimependa sana alivyo honest kwenye biashara yake na kuelezea vitatizo vidogo vyote. Kama ni mnunuzi wa kweli ungelielewa hilo na ungefurahia badala ya kuponda.

Sawa wewe mwenye magari na mafuso nunua hilo la huyo shost wako honest, mimi fukara nimekosa nisamhehe
 
Back
Top Bottom