Fursa za kuwekeza wilayani biharamulo, ardhi sio tatizo ,karibu

Fursa za kuwekeza wilayani biharamulo, ardhi sio tatizo ,karibu

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,718
Reaction score
27,812
BIHARAMULO REAL ESTATE / INVESTMENT

Biharamulo ndio Eneo lenye mvua za kutosha zaidi katika mkoa wa kagera ,ardhi yenye rutuba, miundombinu imara, idadi kubwa ya watu kwa sensa ya kitaifa 2022, na muunganiko wa nchi za burundi Rwanda, Uganda na Mkoa wa Kigoma hadi DRC
FB_IMG_1761551709239.jpg


📞 +255 763 773 192

INAUZA VIWANJA NA MASHAMBA

Kuanzia HEKA 1 HADI 100 — kwa matumizi ya:
✅ Makazi
✅ Kilimo
✅ Ufugaji
✅ Viwanda na miradi ya uwekezaji

Maeneo tuliyonayo:

Ruziba

Nyamigogo

Katahoka

Nyaraka zote za kisheria na kiserikali ni UHAKIKA!
Unapimiwa eneo kwa ukubwa unaohitaji.
Maji, Umeme, Barabara, Shule, Zahanati, Mawasiliano — vyote vipo karibu!

OFFER YA MWISHO WA MWAKA 2025!
Pata PUNGUZO MAALUM ukiwekeza sasa.
📞 PIGA SIMU LEO – UWEKEZE KWENYE ARDHI YENYE THAMANI
 
Kaka naona mrija wa buku seven umekata!

Masaa 48 kabla ya uchaguzi mkuu tulitegemea tuone nyuzi nyiiingi za "Mama anaupiga mwingiii mpaka unamwagika"😀
 
Machapisho yangu hayahusiani na siasa muda wote

USSR
Kaka naona mrija wa buku seven umekata!

Masaa 48 kabla ya uchaguzi mkuu tulitegemea tuone nyuzi nyiiingi za "Mama anaupiga mwingiii mpaka unamwagika"😀
 
Wakati tunagawa na kujenga tusisahau pia kuacha maeneo ya misitu (pori) na ifike wakati tuanze kuwaza kuishi kwenda juu; haya maeneo tukisema kila mtu tugawane hekari sidhani kama zinatosha...; Na hapa naongelea kama Mwana-Jamii katika Jamii na sio individually kuchangamkia fursa
 
Back
Top Bottom