Fursa za Kazi na mafunzo ya Ujenzi kwa Mafundi na Wasaidizi

Evarest cath

Member
Feb 25, 2019
14
13
FURSA FURSA FURSA

Tunawatangazia mafundi wote wa ujenzi na wasaidizi wa kazi za Ujenzi kuwa kuna fursa ya kazi na mafunzo ya ujenzi. Pia kwa yeyote yule ambaye yuko tayari kujifunza ujenzi ata kama sio Fundi wa ujenzi atapokelewa.

Tunapatikana Kibaha Misugusugu.

Kwa maelezo zaidi piga: 0672629292
 
FURSA FURSA FURSA

Tunawatangazia mafundi wote wa ujenzi na wasaidizi wa kazi za Ujenzi kuwa kuna fursa ya kazi na mafunzo ya ujenzi. Pia kwa yeyote yule ambaye yuko tayari kujifunza ujenzi ata kama sio Fundi wa ujenzi atapokelewa.

Tunapatikana Kibaha Misugusugu.

Kwa maelezo zaidi piga: 0672629292
 
FURSA FURSA FURSA

Tunawatangazia mafundi wote wa ujenzi na wasaidizi wa kazi za Ujenzi kuwa kuna fursa ya kazi na mafunzo ya ujenzi. Pia kwa yeyote yule ambaye yuko tayari kujifunza ujenzi ata kama sio Fundi wa ujenzi atapokelewa.

Tunapatikana Kibaha Misugusugu.

Kwa maelezo zaidi piga: 0672629292
 
Mafunzo ni bure kabisa.
Yanachukua muda wa week 2 kwa wasaidizi ila kwa fundi inakua sio mafunzo bali ni orientation, kwa mafundi ni week 2
 
Habari ya wakati huu wapendwa.

Ni fursa nyingine kubwa kwa wale mafundi ujenzi na wasaidizi wa kazi hizo (saidia fundi). Tunahitaji mafundi wenye uzoefu wa kujenga; kuanzia kujenga tofali mpaka kupiga plaster na ambao wanajua ubora wa kazi na wana nidhamu ya kazi.

Kazi zetu sio za kufanya siku moja wala mbili bali ni kazi za muendelezo.

Mafundi watapata pia nafasi ya kujifunza mambo mengi kutoka kwa wataalamu wetu.

Tunapatikana Kibaha, Misugusugu.
Kwa maelezo zaidi tafadhali piga simu 0672629292
 
Habari ya wakati huu wapendwa.

Ni fursa nyingine kubwa kwa wale mafundi ujenzi na wasaidizi wa kazi hizo (saidia fundi). Tunahitaji mafundi wenye uzoefu wa kujenga; kuanzia kujenga tofali mpaka kupiga plaster na ambao wanajua ubora wa kazi na wana nidhamu ya kazi.

Kazi zetu sio za kufanya siku moja wala mbili bali ni kazi za muendelezo.

Mafundi watapata pia nafasi ya kujifunza mambo mengi kutoka kwa wataalamu wetu.

Tunapatikana Kibaha, Misugusugu.
Kwa maelezo zaidi tafadhali piga simu 0672629292
 
Habari ya wakati huu wapendwa.
Ni fursa nyingine kubwa kwa wale mafundi ujenzi na wasaidizi wa kazi hizo (saidia fundi). Tunahitaji mafundi wenye uzoefu wa kujenga; kuanzia kujenga tofali mpaka kupiga plaster na ambao wanajua ubora wa kazi na wana nidhamu ya kazi...
Salama tu.

Vipi kwa upande wa wahandisi ujenzi hamuwahitaji?
 
Habari ya wakati huu wapendwa.

Ni fursa nyingine kubwa kwa wale mafundi ujenzi na wasaidizi wa kazi hizo (saidia fundi). Tunahitaji mafundi wenye uzoefu wa kujenga; kuanzia kujenga tofali mpaka kupiga plaster na ambao wanajua ubora wa kazi na wana nidhamu ya kazi.

Kazi zetu sio za kufanya siku moja wala mbili bali ni kazi za muendelezo.

Mafundi watapata pia nafasi ya kujifunza mambo mengi kutoka kwa wataalamu wetu.

Tunapatikana Kibaha, Misugusugu.
Kwa maelezo zaidi tafadhali piga simu 0672629292

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Habari ya wakati huu wapendwa.

Ni fursa nyingine kubwa kwa wale mafundi ujenzi na wasaidizi wa kazi hizo (saidia fundi). Tunahitaji mafundi wenye uzoefu wa kujenga; kuanzia kujenga tofali mpaka kupiga plaster na ambao wanajua ubora wa kazi na wana nidhamu ya kazi.

Kazi zetu sio za kufanya siku moja wala mbili bali ni kazi za muendelezo.

Mafundi watapata pia nafasi ya kujifunza mambo mengi kutoka kwa wataalamu wetu.

Tunapatikana Kibaha, Misugusugu.
Kwa maelezo zaidi tafadhali piga simu 0672629292
 
Back
Top Bottom