Sawa bana,afu usinitoe kwenye reli nia yangu ni kula madini ya Biz ya Wali huko Chigali, kwanini iwe inalipa kushinda DRC wewe tukana na utembee kifua nyuma ka unataka.Hahaha nenda jukwaa la biashara na uchumi kuna mawazo mengi utashindwa wewe, biashara sio kwa kila mtu.
Najivunia kuwa mlinzi, usiku kucha, niko macho mchana kutwa nalala. Napishana na dunia, inaenda mimi narudi.
We achana na mawazo yao, tembea kifua mbere Magu yupo anapigania wanyonge kama mimi.
Nami nakupongeza kwa kuwa mwanamke mpambanaji maana kabla haso zako zilikuwa moro sas upo kahama du. hongera sanaNjoo tuanzie kahama..kitu cha trinity..! simple
sawa nilipanga kutumia trinity pia, november nitakukumbusha kuhusu hii safari. nitaku-pm piaNjoo tuanzie kahama..kitu cha trinity..! simple
hahah Mane Moro ulikua unapambania wap?Nami nakupongeza kwa kuwa mwanamke mpambanaji maana kabla haso zako zilikuwa moro sas upo kahama du. hongera sana
Niunganishe naye plssHii ni kweli jamaa wananunua ngozi na wanakula. Niliwahi kumuona mnunuzi kutoka Nigeria akiwa na agent wa ki bongo
Usipotoshe mkuu!! Watu hadi tani 30 wanapeleka sembuse tani 60!!!unapozungumzia tani sitini sio mchezo kama ni mchele hapo unazungumzia sio mtaji wa kitoto ni kama milioni 80!!!Huwezi kufanya biashara hiyo kama huna pesa ,namaanisha pesa sio una tani 60, unataka kupeleka mchele ng'ambo
pia uwe makini dada. Mana wasanii n wengi mjini hapaHawajata kuweka wazi..huenda wananihofia pia...ila nadhan ni mtaji mnene kias..wanapelela tons nyingi wanadai (hawajasema zaidi) ngoja nijidangishe wafunguke😂😂🙌
Biashara za huko huwezi peleka mchele wa kyela, uuzaji wake ni mgumu sana, kwani bei itakuwa kikwazo!! Kule unapeleka wa kawaida, labda uwe na order maalum!! Huo wa kyela mfano uununue tsh. 1800!!hujaweka ushuru, usafiri, utauuza bei gani?hii biashara inafaa upeleke mchele wa Kyela ambao ukipikwa mpaka mtaa wa pili wananusa harufu....
😁😁😁haya...na trauza naona karibu kila siki usk unaona mtu ananunua anavaa hapo hapo anasepa..zile kadeti
Mkuu mchele wa kyela unafaa upelekwe kipindi kama hiki cha mavuno unakuwa very cheap coz debe la mchele linashuka mpk 25000/-.Biashara za huko huwezi peleka mchele wa kyela, uuzaji wake ni mgumu sana, kwani bei itakuwa kikwazo!! Kule unapeleka wa kawaida, labda uwe na order maalum!! Huo wa kyela mfano uununue tsh. 1800!!hujaweka ushuru, usafiri, utauuza bei gani?
Kipimo kizuri ni kg!! Je debe ni kg ngapi?tuanzie hapo,Mkuu mchele wa kyela unafaa upelekwe kipindi kama hiki cha mavuno unakuwa very cheap coz debe la mchele linashuka mpk 25000/-.
kg 30Kipimo kizuri ni kg!! Je debe ni kg ngapi?tuanzie hapo,
Uyu dada ni noma asee kwenye hustle ni shida sema ni kwenda naye sawa!Money money...we dada hustler sana i can bet my money on you ️TOP
Money money...we dada hustler sana i can bet my money on you ️TOP
Habari ndugu wanajamii forum!
Wakati Tunaposubiri Ccm watoke madarakani 2020 jaribu pia kuendelea kutafta fursa hapa na pale kabla hakijanuka
Nimekutana na vijana wadogo kbs wameona fursa ya kupeleka mchele Rwanda...
nimejaribu kuongea nao wanadai lazima uwe na leseni ya Afrika mashariki..wajuvi wa mambo mngesaidia sana kuelezea hii leseni inapatikana vipi..
Jamani kuna watu wanapiga helaaaa..nimechoka mimi..nimechoka sana...!
Umewahi sikia kuna vijana wanacheza michezo ya 5,000,000/= per month?
Shimeee! wenye mitaji "yenyu"
Kocha Mkuu
@BILGER