Fursa ya kupeleka mchele nchini Rwanda

Fursa ya kupeleka mchele nchini Rwanda

Haya mkuu kuwa makini pia
Kitu ambacho na wewe unakifahamu ni kwamba mtu kuwa limited kiuchumi ni jambo baya sana na linalo umiza mno asee so ndo maana unaona kama wadau tuna papara ila sio papara ni vile tunatafuta stepping stone!!
 
Mkuu wewe ndo utskuwa mwenyeji aisee alafu unafikiri bila ivyo inawezekana vip kuanza mane?
Niwe mkweli..june nilimpokea mgeni hv akaja kupitia mimi..!nikamuonesha njia za kupiga hela huku amekaa...lakini alichokuja nifanyia mpk ss siamini!..kifupi ananifanyia figisu sana kwenye mishe zangu kwa hali yyt ile...nikisema ni wivu nakosea..labda uchawi kbs..alafu akiniona ananichekea ananiita boss lady..hvyo kwakweli hapana sitapokea mtu tenaa! nimetenda wema nikasepa zangu
 
Kitu ambacho na wewe unakifahamu ni kwamba mtu kuwa limited kiuchumi ni jambo baya sana na linalo umiza mno asee so ndo maana unaona kama wadau tuna papara ila sio papara ni vile tunatafuta stepping stone!!


kwenye biashara unaweza umia...!
 
Niwe mkweli..june nilimpokea mgeni hv akaja kupitia mimi..!nikamuonesha njia za kupiga hela huku amekaa...lakini alichokuja nifanyia mpk ss siamini!..kifupi ananifanyia figisu sana kwenye mishe zangu kwa hali yyt ile...nikisema ni wivu nakosea..labda uchawi kbs..alafu akiniona ananichekea ananiita boss lady..hvyo kwakweli hapana sitapokea mtu tenaa! nimetenda wema nikasepa zangu
kiukweli nimecheka mno aisew kwanza pole sana kwa yaliyokusibu lakini mbona umetumia fallacy of generalizataion Mane? ila si kesi itabidi tujiongeze tu wenyewe bt wanaija na wakenya huvutana wenyewe na pia husaidiana kwenye michongo kama hii , uyo aliyekufanyia upuuzi wee mkatae achane nae iko day atakuja kuujua umuhimu wako Mane all in all thanks kwa haya mawili matatu uliyotupa maana uku mbele naona umeweka kabisa nguzo
 
Nitakufata inbox nipate ushauli wako wa mwisho kabisaaaa!! Hope next week nami nitafanya kitu hapo. Potelea mbali.!!
Niwe mkweli..june nilimpokea mgeni hv akaja kupitia mimi..!nikamuonesha njia za kupiga hela huku amekaa...lakini alichokuja nifanyia mpk ss siamini!..kifupi ananifanyia figisu sana kwenye mishe zangu kwa hali yyt ile...nikisema ni wivu nakosea..labda uchawi kbs..alafu akiniona ananichekea ananiita boss lady..hvyo kwakweli hapana sitapokea mtu tenaa! nimetenda wema nikasepa zangu
 
Nitakufata inbox nipate ushauli wako wa mwisho kabisaaaa!! Hope next week nami nitafanya kitu hapo. Potelea mbali.!!


habaha since unitumie ile txt nikajua ww bado mno mno kwanza nilikushangaa mnoo..mie nilifikà Kakola saa 11..saa 1 usk nikawa nishapata eneo..saa 7 mchana mafundi washachimba mashimo..yaan sikujiuliza..ww week lot hili unafatilia info zipi tena?😂😂 then ww idea yako uliyosema haizidi 300k una hofu gan hapo😂😂!! nilikushangaa!
 
habaha since unitumie ile txt nikajua ww bado mno mno kwanza nilikushangaa mnoo..mie nilifikà Kakola saa 11..saa 1 usk nikawa nishapata eneo..saa 7 mchana mafundi washachimba mashimo..yaan sikujiuliza..ww week lot hili unafatilia info zipi tena? then ww idea yako uliyosema haizidi 300k una hofu gan hapo!! nilikushangaa!
Shida ni kwamba Mane umefunga pm asee isingekuwa ivyo maulizo yote yangekuwa yanaishia uko pm ila sasa pm ndo umefunga, fungua basi pm ata kwa muda utuokoe wadau bi dada tayari wewe ushakuwa insipiration kwa baadhi yetu so si vyema kutuacha njiana tusave kwa pale unapoweza na kikubwa tunachotaka apa ni njia na viushauri viwili vitatu mama Mungu akauongoze moyo wako kulifikiria ili Mane mi bado niko na wewe kuanzia kule mpaka uku
 
habaha since unitumie ile txt nikajua ww bado mno mno kwanza nilikushangaa mnoo..mie nilifikà Kakola saa 11..saa 1 usk nikawa nishapata eneo..saa 7 mchana mafundi washachimba mashimo..yaan sikujiuliza..ww week lot hili unafatilia info zipi tena? then ww idea yako uliyosema haizidi 300k una hofu gan hapo!! nilikushangaa!
Mane, Mane ,mane pls okoa wengi funguka apa mama huwezi jua labda Mungu amekuumba uwe njia kwa baadhi ya watu funguka kidogo Mama P
 
Mane, Mane ,mane pls okoa wengi funguka apa mama huwezi jua labda Mungu amekuumba uwe njia kwa baadhi ya watu funguka kidogo Mama P

Hhhhhaaaa....mbòna mie naona nimefunguka vya kutosha?? maana hizo ishi mm sifanyi..ila naona tu wanaofanya na huwa nawazoea nawahoj wanafunguka..huyo Dadu amefika ana week ila mwoga kuanza lolote...unkown fear!lol..
 
Hhhhhaaaa....mbòna mie naona nimefunguka vya kutosha?? maana hizo ishi mm sifanyi..ila naona tu wanaofanya na huwa nawazoea nawahoj wanafunguka..huyo Dadu amefika ana week ila mwoga kuanza lolote...unkown fear!lol..
Aaah labda mtaji kakopa sasa anaogopa usije enda na maji alafu FINCA wakafanya yao ila mimi nikifika uko nitakusumbua mpaka ukubali kunionyesha njia ata iweje aisee kumbuka wewe umetangulia uko so kuna vingi unavyo tofauti na sisi wengine ambao bado hatujatimba apo bado ndo kwanza tunakusanya info wewe kubali kulibeaba tu ili jukumu tayari lishakua lako huna jinsi
 
Safi sana kwa vijana kuhimizana kuhusu kutoka nje ya nchi kutafuta fursa zaz ajira, Ila tusizidishe siasa.
 
Pole
Niwe mkweli..june nilimpokea mgeni hv akaja kupitia mimi..!nikamuonesha njia za kupiga hela huku amekaa...lakini alichokuja nifanyia mpk ss siamini!..kifupi ananifanyia figisu sana kwenye mishe zangu kwa hali yyt ile...nikisema ni wivu nakosea..labda uchawi kbs..alafu akiniona ananichekea ananiita boss lady..hvyo kwakweli hapana sitapokea mtu tenaa! nimetenda wema nikasepa zangu
 
Back
Top Bottom