The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,445
- 20,809
Yaani nasema Mungu nipe pumzi..huku wananiangaliaga tu yaan..afu waniita mchagawanasema wanawake wa kisukuma hawana mwamko kbs wa kuhustle..ila its true
.. mie nikifika kila siku niwe naweka 200k ntakamilisha kbs my long term plans..huku ukiweza tu kujitoa kbs uhakika wa kupata even 200k@ day upo...toa ishu za madini.ntakuja pm tmr..
Poa nakusikilizia PM

.. mie nikifika kila siku niwe naweka 200k ntakamilisha kbs my long term plans..huku ukiweza tu kujitoa kbs uhakika wa kupata even 200k@ day upo...toa ishu za madini.ntakuja pm tmr..
