Fursa ya kupeleka mchele nchini Rwanda

Fursa ya kupeleka mchele nchini Rwanda

Yaani nasema Mungu nipe pumzi..huku wananiangaliaga tu yaan..afu waniita mchagawanasema wanawake wa kisukuma hawana mwamko kbs wa kuhustle..ila its true.. mie nikifika kila siku niwe naweka 200k ntakamilisha kbs my long term plans..huku ukiweza tu kujitoa kbs uhakika wa kupata even 200k@ day upo...toa ishu za madini.ntakuja pm tmr..

Poa nakusikilizia PM
 
Biashara ya mazao kwa sasa siyo rasmi sana. Watu wanalizwa sana. Imekaa kimagendo zaidi. Inafanyika kihivyo . inahitaji umakini. Sidhani kama kuna leseni. Wewe wapelelleze utapata habari zaidi.
“Lakini pia BRELA tunatoa leseni za kundi A kama zilivyoainishwa katika sheria Leseni za Biashara ya Mwaka 1972 na marekebisho yake. Leseni za kundi A ni zipi, ni zile leseni zinazotolewa kwa biashara zenye mlengo wa kitaifa, kimataifa na zenye usimamizi maalum, biashara hizi ni kama usafirishaji wa bidhaa nje ya nchi, uingizaji wa bidhaa ndani ya nchi na biashara za usimamizi maalum kama za madini, benki na zingine kama hizo.
 
Alafu wanavyotuonaga wanawake sio kitu.. Sasa hv tunaheshimiana zaidi
Ndio Lazima iheshimiwe pia inakua dharau hakuna mwanaume anakua hanachakukwambia pesa unayo hivyo hakubabaishi kwakitu kama kafanikiwa zaidi na ww ndipo unapoelekea na utampita zaidi kwn unakua umeiva kabisa
 
Shida Mane nawe. Emu tufungue basi bhana maana tukiuliza unasema hii apana so tulete nini boss Mane


huku mtumba unatoka hapo uganda..wana nmtumba mzuri sana..nilimanisha tsht za dukan wanazomwaga kkoo
 
tstht wanauza 10-13!kwa trauza sijajua
Km izo huku dar wanauza 90000
65271855_353988675272162_7998002968575822239_n.jpeg
 
sio hizi bwana ...hizi classic..mbn kkkoo
hizo tshr mtaa wa uhuru wanamwaga chini tu
Mane emu tupange basi nduguzo bhana tunataka kuweka pesa ili tupate ata miambili mtu wangu yani fanya basi ata kutoa vimaelezo fulani ivi hasa apo kwenye uwakala wa vinywaji na hii ya mitumba mtu wangu usisahau na hii ya kununua hayo maviroba ya madini mama, ukifanya ivyo hakika Mungu ataongeza Kitu kwako bhana!! Hutaki siku moja ntuje umu JF kutoa ushuhuda dhidi yako jinsi ulivyotuinsipire na kutupa mchongo?
 
Mane emu tupange basi nduguzo bhana tunataka kuweka pesa ili tupate ata miambili mtu wangu yani fanya basi ata kutoa vimaelezo fulani ivi hasa apo kwenye uwakala wa vinywaji na hii ya mitumba mtu wangu usisahau na hii ya kununua hayo maviroba ya madini mama, ukifanya ivyo hakika Mungu ataongeza Kitu kwako bhana!! Hutaki siku moja ntuje umu JF kutoa ushuhuda dhidi yako jinsi ulivyotuinsipire na kutupa mchongo?


Best...! sijui nisemeje au ww tu nakuona una papara fulan..mie nil8toa tips..sasa ukiniuliza habari za hzi mambo zote niwe mkwel mtashindwa..!..nadhan tips nimetoa vya kutosha kbs!ila mawe usipaparike nayo weka pemben kbs!
 
Best...! sijui nisemeje au ww tu nakuona una papara fulan..mie nil8toa tips..sasa ukiniuliza habari za hzi mambo zote niwe mkwel mtashindwa..!..nadhan tips nimetoa vya kutosha kbs!ila mawe usipaparike nayo weka pemben kbs!
Mmmh sawa Mane shida nini unajua ni kupata mbili tatu tu za uko ila si kesi mpka pia tunashukuru sana wangu ni pa kubwa apa na wala si padogo apa kilichopo ni kupiga trip na kuja uko
 
Mmmh sawa Mane shida nini unajua ni kupata mbili tatu tu za uko ila si kesi mpka pia tunashukuru sana wangu ni pa kubwa apa na wala si padogo apa kilichopo ni kupiga trip na kuja uko


Haya mkuu kuwa makini pia
 
Back
Top Bottom