Fursa ya kupeleka mchele nchini Rwanda

Ntaifanyiaaa Kazi hiii
Ntaku Fata whatsap unipe ramani
Lbda naweza achana na mambo ya kwenda gairo
Etc

Ova

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ njoo..hii deal iko makini sana..sijaandika hapa kupoteza muda..mie niko tyt tu na mambo yale
 
Ntaifanyiaaa Kazi hiii
Ntaku Fata whatsap unipe ramani
Lbda naweza achana na mambo ya kwenda gairo
Etc

Ova

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ njoo..hii deal iko makini sana..sijaandika hapa kupoteza muda..mie niko tyt tu na mambo yale..na hawa madogo ni graduate..wanajua nn wanafanya
 
wewe mama mchoyo wa mawazo na utakufa na mtaji wako chini ya mto hata ukujitetea.


hhhhhaaaa hebu soma bas vzr huu uzi toka mwanzo...na kuna mtu kasema wapi pa kupata hizk leseni..duh...khaa...ss mm niwe mchoyo ningeandika hapa...ishu ni kuwa ni ww ufatilie haya mambo kwa umakini...khaa nitue babu wee
 
nikikueleza nna mishe ngapπŸ€”πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ..hapana..sitaweza..ila km atapatikana mtu/watu serious nitamconnect naye

Manengelo nakutamania hustles zako , mie mwaya wala sina hela ya kwenda Rwanda wala Comorro huko. Naomba mishe za mitaji midogo na mimi nijikomboe dada yangu.
Ahsante
 
Yaani mtu akupe infor ukamharibie soko lake, ingia mwenyewe field.
Aaaaaah apo ndo nimekupata ila mmkome kabisa next time kuja apa na kusema sijui watanzania wavivu sijui watanzania nini na nini acheni hii dhana mara moja!!
 
Manengelo nakutamania hustles zako , mie mwaya wala sina hela ya kwenda Rwanda wala Comorro huko. Naomba mishe za mitaji midogo na mimi nijikomboe dada yangu.
Ahsante


Unadhan ukisubiria mtaji utapata??hapana...huwez...ww anza hapo hapo ulichinacho
 
Manengelo nakutamania hustles zako , mie mwaya wala sina hela ya kwenda Rwanda wala Comorro huko. Naomba mishe za mitaji midogo na mimi nijikomboe dada yangu.
Ahsante


Kama huna majukumu ya ndoa njoo uize hata maji...huku maji ya kunywa yanauzika..alafu nimegundua..wanaouza ya baridi wakuhesabu..nashanhaa huku hakuna bishara ya kugandisha barafu..wanachofanya wanayaweka tu kwa friji anakuja pack asbh kwa deli zake kadhaa... na mostly wanauza ya moto pia kama unauweza wakala pia hii habari ya kulaza laki 1 kwa siku as faida kawaida mnoooo!!
 
Ndio nataka nianze hivyo mkuu ila sijui nifanye biashara gani .
Ulivyosema unamishe nyingi ndio nikakuomba unipatie hata mishe mmoja na mie nipambe nayo .😴😴


Ngoja nikupigie kitu picha hapa..subiri dk kadhaa
 
Si utapeli .biashara zina changamoto.kuna jamaa yangu alipata idea ya matikiti maji akaanza kulima alichokutana nacho mungu anajua.utafiti wa kutosha ni muhimu kabla hujaweka fedha zako.mpenzi
Kweli kabisa mkuu,kabla ya chochote kwanza utafiti,yaani unaweza kuhamasika na jambo mwisho ukajuta,ni vyema kujiridhisha na utafiti ndipo hatua zichukuliwe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njoo..hii deal iko makini sana..sijaandika hapa kupoteza muda..mie niko tyt tu na mambo yale..na hawa madogo ni graduate..wanajua nn wanafanya
Poa poa
Ntakuja unipe ramani

Ova
 
Sasa Manengelo mbona unafunua gauni hapo msitari wa mwisho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…