Abbitto
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 547
- 744
Ila Mimi mwenzenu ya kusema kuunganisha nguvu mmh bora uendege mwenyewe uone fursa uje ujipange maana uku mingine mijizi au mizulumati unaweza kufika kule labda na mikabichi yako unaachwa kwenye mataa au katikati wanakutosa kwenye maji hapo ndo utakapojua kama asali ni Mboga au kinywaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app