neno ni upanga
Senior Member
- Jun 28, 2022
- 189
- 725
Habari wakuu, jana nilileta bandiko hapa kwa wale wasio na kazi au wenye kupata japo masaa mawili kwa siku kuwa kwenye mtandao kutengeneza pesa kupitia simu zao wengi walibeza, lakini nilichokigundua kuwa wengi humu mmekaririshwa kuwa yeyote anayekuja humu na tangazo la fursa ni tapeli kitu ambacho sio kweli, kuna vijana wa kitanzania wametengeneza fursa nyingi kupitia mtandaoni na maisha yao yanaendelea, na wanapata pesa nyingi sana, shida humu wengi mna maisha yenu, mmeajriwa mnawakqtisha vijana fursa, Leo hii kuna vijana wengi wapo vyuo vikuu muda ule wanaotumia kupumzika wanaweza kuutumia kutengeneza fedha,, ni kweli kwamba biashara na matangazo mengi ya mtandaoni yamekuwa ya kitapeli lakini nikwambie kuwa kuna mengine ni fursa kweli hupaswi kubeza, mfano ni kampuni ya App pesa hii ipo hapa hapa Tanzania kuna vijana wengi wameajiajiri kupitia kampuni hii, na wanapata pesa kila siku, kampuni wanauza view kila unapoview video, YouTube, tiktok, Facebook, Instagram na kujibu maswali yao kila siku unaingiziwa hela yako kwenye account! Sasa unakuta kijana Ana chezea simu masaa mpaka 7 kwa siku na hajaingiza hata 1000/= lakini kuna watu wamebuni fursa mtandaoni na wamesaidiq wengi, wewe kama unahisi huu ni utapeli, ingia mtandaoni search neno App pesa, utakutana nayo huko, fuatilia kuanzishwa kwake mpaka kazi inayofanyika huko, baada ya kuridhika njoo uncomment huku kama ni utapeli! Kimsingi kila kitu kina gharama zake kwa ajili ya aliyeanzisha hiyo app lakini hupaswi kuogopa maana hiyo hela unaweza kuirudishq ndani ya Lisaa moja, nimekuja kuwashirikisha maana mm mwenyewe ni mnufaika wa hii, lakini kutokana kuwa bado wanahitaji watu ndo maana tunawashirikisha hasa kwa wale wanaotamani kuingiza pesa kupitia simu zao! Tazama Mfano hapa chini ukishajisajiri, malipo yanafanywa kama ifuatavyo ( wewe ambaye upo tiyari njoo inbox nikupe maelekezo) na jinsi ya kujisajiri