Toosie Slide
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 786
- 946
Error: Fulsa/= *Fursa*
Mimi nina virikuu viwili.
Billion vijisent tu dogo acha uoga
Sijambo Mume za weweJane mke wangu ujambo..!
Mi ntatengeneza group
hapana wazo zuriVipi shost.nimekosea?
Fafanua hiyo biashara itafanyikia wapi?Kuna fursa ya biashara nimechungulia hapa mjini.
Mimi sina mtaji.ila natamani kama tunaweza kuunda kikundi tuifanye. Inaitaji fuso moja na cash kama 30 m. Kwa kuanzia.ndani ya miaka 2 unakuwa bilionea kama tukipata fuso kumi.naomba mwenye kujua jinsi ya kutengeneza group kwa kutumia group link afanye hivo tuungane tutafute hela.uwe mchapakazi lakini hakuna hela rahisi mjini hapa.halafu kama hupendi biashara na hela huna usije kwenye group
Inawezekana kana kweli tutakuwa well organizedBillionaire in just two years, kweli town kuna fursa. Teh!!!
Your Missed big¡
AsanteYour Missed big¡
Hivi hiyo biasha ya kusambaza nini kwenye hizo fuso na mil30.Kuna fursa ya biashara nimechungulia hapa mjini.
Mimi sina mtaji.ila natamani kama tunaweza kuunda kikundi tuifanye. Inaitaji fuso moja na cash kama 30 m. Kwa kuanzia.ndani ya miaka 2 unakuwa bilionea kama tukipata fuso kumi.naomba mwenye kujua jinsi ya kutengeneza group kwa kutumia group link afanye hivo tuungane tutafute hela.uwe mchapakazi lakini hakuna hela rahisi mjini hapa.halafu kama hupendi biashara na hela huna usije kwenye group
Duuuh Aisee
Hahaha ina maana kunawatu humu wanayo eti heeWameanza kutafuta upigaji na humu eti
Kwa fuso milionea miaka 2 hakuna tofauti na kucheza upatu hii ni desi mpya
Deciiiiiiii