Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,532
- 45,768
- Thread starter
- #41
Naogopa kuweka namba bna nitatekwa.ila ni bonge la biashara.me mwenyewe naifanya vile tu mtaji kidogoTengenezeni group ili ambae yuko Na interest ajiunge
Naogopa kuweka namba bna nitatekwa.ila ni bonge la biashara.me mwenyewe naifanya vile tu mtaji kidogoTengenezeni group ili ambae yuko Na interest ajiunge
Basi unda hyo Mkuu.namba tutapeana tukionanaTelegram ndio nzuri kwasababu kule akuna kuona namba ya mwenzako na pia kufuta na kublock mtu bila kujijua ni fasta
Tulishaunda group moja hukoo. Na katina ilikuwepo, watu navikao vilikuwa vinafanyika lakini mwisho wa siku watu wawili wakapiga pesa zote.Hakuna utapeli hapa
Ahahahaa Fala wewe. Mna nini lakini mnawaza upuuzi hivoSasa ww mtooa mada umesema huna mtaji, ukiingia kwenye group utachangia nn, au 0713 yako ndo mtaji
Whaaaaaaaaaaaaaaaat!!???????Kuna fursa ya biashara nimechungulia hapa mjini.
Mimi sina mtaji.ila natamani kama tunaweza kuunda kikundi tuifanye. Inaitaji fuso moja na cash kama 30 m. Kwa kuanzia.ndani ya miaka 2 unakuwa bilionea kama tukipata fuso kumi.naomba mwenye kujua jinsi ya kutengeneza group kwa kutumia group link afanye hivo tuungane tutafute hela.uwe mchapakazi lakini hakuna hela rahisi mjini hapa.halafu kama hupendi biashara na hela huna usije kwenye group
Ndo lile la kina PM?Tulishaunda group moja hukoo. Na katina ilikuwepo, watu navikao vilikuwa vinafanyika lakini mwisho wa siku watu wawili wakapiga pesa zote.
Linapokuja suala la pesa najiamini mimi mwenyewe
Tutabeba wote eee?mama wa fursa mimi mtaniajiri niwe nawabebea hela
Naona neno "sasa hivi" limepoteza maana yake.Poa ngoja sasa hivi natuma link hapa
Jane mke wangu ujambo..!Ndo lile la kina PM?
Tayari mkuu link hiyo hapo uzi ulipotea sijui tatizo lilikuwa ni niniWhaaaaaaaaaaaaaaaat!!???????
Ngoja ninawe uso kwanza maana macho chenga
Ok poapoa mkuu,mi nipo mkuu sema vichochoro ndo vingi hatuonani humu.Tayari mkuu link hiyo hapo uzi ulipotea sijui tatizo lilikuwa ni nini