Fursa ya biashara kwa sisi wa Uswahilini

Fursa ya biashara kwa sisi wa Uswahilini

Man, I don't know why I love you, nadhani because you are always happy. I don't know you, ila una raha, furaha na unajikubali
Hahahah, most of the times wala hujakosea mkuu! Thanks for the compliment.

Ukinikuta nimekasirika ujue kuna mtu kanifyatua ila huwa sipendi hio hali naepukaga watu wa hivyo sana.

Kimsingi i really love engaging with people tutie story na kufurahia maisha. Kuna mtu pia aliwahi niuliza swali kwamba hivi mie mbona kila mtu napatana na kucheka nae? 😂She finds it so strange!
 
Dagaa mchele na ugali, kachumbali pembeni.
Naweza kula hata kilomoja ya ugali peke yangu.
 
Nilikwenda soko la Ferry kununua samaki. Niliona wavuvi wanauza dagaa kwa ndoo. Wazo nililolipata ni kwenda Ferry asubuhi na jiko la mkaa na kopo moja tu la mkaa ndani. Chupa ya mafuta na chumvi.

Ukishanunua wale dagaa unawakaanga pale unawaweka kwenye ndoo na kupanda nao mwendo kasi. Ukiuza wale dangaa kwa kipimo cha kibakuli utapata faida. Kabla sijaanza kama Kuna mtu yuko tayari aanze.
Vipi mrejesho?
 
Back
Top Bottom