Sijui kuna kampuni imeingia ubia na Zantel. Lengo ushawishi watu ili watumie Zantel na wao wakipata wenzao wanaongeza pato lako. Je nani utamshawishi atumie Zantel ilhali wateja wake wengi ni voda?Biashara hiyo imenishinda hata kabla sijaianza. Huwezi kumshawishi mtu atumie mtandao asiouhitaji. Tumsifu Yesu Kristu.
Abdulwahid Yesu ni Bwana wetu mimi na mimi piaYesu anahusikaje hapa?