Fursa: Nufaika kupitia simu yako ya mkononi

Fursa: Nufaika kupitia simu yako ya mkononi

Sijui kuna kampuni imeingia ubia na Zantel. Lengo ushawishi watu ili watumie Zantel na wao wakipata wenzao wanaongeza pato lako. Je nani utamshawishi atumie Zantel ilhali wateja wake wengi ni voda?Biashara hiyo imenishinda hata kabla sijaianza. Huwezi kumshawishi mtu atumie mtandao asiouhitaji. Tumsifu Yesu Kristu.
 
Sijui kuna kampuni imeingia ubia na Zantel. Lengo ushawishi watu ili watumie Zantel na wao wakipata wenzao wanaongeza pato lako. Je nani utamshawishi atumie Zantel ilhali wateja wake wengi ni voda?Biashara hiyo imenishinda hata kabla sijaianza. Huwezi kumshawishi mtu atumie mtandao asiouhitaji. Tumsifu Yesu Kristu.

Leo n Tarehe ngapi kaka?
 
hahaha hapa ni JF kama una ishu inayoweza kuwasaidia wadau ww iweke wazi hapa unacho ogopa ni nini??.
au unataka huko PM ukatapeli watu??.
kwani ww kunavingapi unapewa na kupata bure hapa JF hutozwi hata cent??.
ona sasa hata hiyo thread hapo juu umeiandika umelipia?? jibu ni hapana.
acha u mimi ww.
kama ww unapewa bure nawe toa bure.

lakini kama ni tapel utawapata tuu haina shida
 
hahaha hapa ni JF kama una ishu inayoweza kuwasaidia wadau ww iweke wazi hapa unacho ogopa ni nini??.
au unataka huko PM ukatapeli watu??.
kwani ww kunavingapi unapewa na kupata bure hapa JF hutozwi hata cent??.
ona sasa hata hiyo thread hapo juu umeiandika umelipia?? jibu ni hapana.
acha u mimi ww.
kama ww unapewa bure nawe toa bure.

lakini kama ni tapel utawapata tuu haina shida

kwa idadi ya watu ambao wameshakuja inbox naamn kama ningekua nawatapel wangeshasema hapa tayari
 
-o↔ ...i! .'. in .. його йі B-) йй пш
 
ambao bado hatujawasiliana tafadhal , usije kusema lait ningejua
 
Ili utapeliwe lzma uwe na tamaa

Pole ndugu , Hii post inamda gani hapa? Unajua nishawasiliana na watu wangapi? kuna aliekuja kulalamika hapa katapeliwa? Huwez kuchukua fursa unatulia , unataka kuijua unakuja inbox , unahisi utatapeliwa unakaa kimya
 
Watu kama hawa asilimia kubwa huwa ni matapeli, kuweni nao makini. Kama ni sili unaemwambia nani sasa? Hapa ni uwazi, siyo mambo ya siri. Huna nia ya kuwasaidia watu wewe. Bali ni tapeli.
 
Watu kama hawa asilimia kubwa huwa ni matapeli, kuweni nao makini. Kama ni sili unaemwambia nani sasa? Hapa ni uwazi, siyo mambo ya siri. Huna nia ya kuwasaidia watu wewe. Bali ni tapeli.

pole , ugua pole
 
Back
Top Bottom