Fursa: Nufaika kupitia simu yako ya mkononi

Fursa: Nufaika kupitia simu yako ya mkononi

Danpol

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2013
Posts
5,747
Reaction score
9,012
Unasimu? Unatumia simu? matumizi yako ya vocha yanazidi au kukaribia 10,000 kwa mwezi? Je umejiuliza ni kiasi gani umeichangia mitandao ya simu? imewahi kukulipa hata sent moja? jibu ni hapana

Je wajua simu yako yaweza kukulipa kuazia pesa ndogo zaid had billions kwa mwezi ? is very simple, Upewe nini tena (Simu yako " JEMBE LAKO" )

Ni PM nikupe mchongo

N.B , Hupewi vocha ukauze, hakuna maswala ya kusema " TUMIA MUDA WAKO WA ZIADA KUINGIZA KIPATO " hupewi bango utembeze ,hupewi mabango usambaze mitandaoni , just n PM nikupe mchongo , kikubwa uwe na simu

< usimwage mchele kwenye kuku wengi>
 
kama fursa twenzetu
 
Hii fursa ni ya siri nini si umwage tu hapa ndugu tuijadili
 
Unasimu? Unatumia simu? matumizi yako ya vocha yanazidi au kukaribia 10,000 kwa mwezi? Je umejiuliza ni kiasi gani umeichangia mitandao ya simu? imewahi kukulipa hata sent moja? jibu ni hapana

Je wajua simu yako yaweza kukulipa kuazia pesa ndogo zaid had billions kwa mwezi ? is very simple, Upewe nini tena (Simu yako " JEMBE LAKO" )

Ni PM nikupe mchongo

N.B , Hupewi vocha ukauze, hakuna maswala ya kusema " TUMIA MUDA WAKO WA ZIADA KUINGIZA KIPATO " hupewi bango utembeze ,hupewi mabango usambaze mitandaoni , just n PM nikupe mchongo , kikubwa uwe na simu

< usimwage mchele kwenye kuku wengi>
Nipe mchongo mkuu
 
Mambo kama haya kupeleka PM yanaleta maswali mengi kuliko majibu. Weka mambo hadharani.
 
Unasimu? Unatumia simu? matumizi yako ya vocha yanazidi au kukaribia 10,000 kwa mwezi? Je umejiuliza ni kiasi gani umeichangia mitandao ya simu? imewahi kukulipa hata sent moja? jibu ni hapana

Je wajua simu yako yaweza kukulipa kuazia pesa ndogo zaid had billions kwa mwezi ? is very simple, Upewe nini tena (Simu yako " JEMBE LAKO" )



Ni PM nikupe mchongo

N.B , Hupewi vocha ukauze, hakuna maswala ya kusema " TUMIA MUDA WAKO WA ZIADA KUINGIZA KIPATO " hupewi bango utembeze ,hupewi mabango usambaze mitandaoni , just n PM nikupe mchongo , kikubwa uwe na simu

< usimwage mchele kwenye kuku wengi>

NimeshakuPM mkuu Danpol nakusubiri
 
Last edited by a moderator:
Hayo ni maswala ya Zantel km sikosei, biashara ya mtandao km wafanyavyo makampuni ya GNLD na FOREVER
 
Hyo ni zantel na unajiunga na sh 70000 elfu halfu unaanza kutafuta wateja ni biashara za kamishen
 
aaahh kumbe ni haya ma biashara sijui ya forever living dahh hayana ishu haya
 
Back
Top Bottom