Fursa kwa mdada mmoja

Fursa kwa mdada mmoja

Mnh...kweli? Na lako kwetu linamaanisha mnyama wa pori. We muwindaji?
Hapana Mimi siyo mwindaji ila hili langu ni mnyama huyu
images-8%7E2.jpeg
 
Boss wako kakwambia utafute mfanya kaz wa ndani...unajaza mbwembwe nyingiiii......houseboy wewe unaahida kwel kweli....hahahaha eti gari umeitoa wapi?? Eti biashara umezipata wapi?? Hahaha
 
Mkuu nakuja jamani mbona mshahara haujasema
Hili tangazo la kazi kuna vitu vingi haviko wazi nandio maana baadhi wa watu wanahisi ndivyo sivyo. Labda mleta uzi ungejaribu kuweka mambo hadharani ili watu wachangamkie hiyo fursa. Kila la kheri.
 
Hapo pa mshahara utakuwa mzuri nimepaelewa sana, nipo njiani boss wangu naja.
 
Habari wakuu.
Natafuta msichana au mwanamama mmoja ( asiwe mkubwa sana) anayejua kufanya kazi za ndani ( house girl) pia na kusimamia baadhi ya biashara zangu .
Asubuhi hadi saa 4 atafanya kazi za nyumbani maana si nyingi baada ya hapo kuna kazi atakuwa anasimamia kwenye biashara zangu za nje.
Ninaishi mwenyewe Nina watoto ila siishi nao.
Sifa za mfanyakazi
1) awe amesoma hadi form 4 pia kama amefika chuo itapendeza maana kazi zangu zinahitaji elimu zaidi ya nguvu.
2) awe anajua kuendesha gari hata kama hana leseni nitamtafutia.( kazi za nje za biashara zinahitaji awe anadrive mwenyew kuzungukia hiyo miradi)
3) asiwe na matatizo kiafya mfano presha, kifafa .
4) awe smart kimwonekano ( asiwe mchafu)

Mshahara utakuwa mzuri.

Sehemu ya kazi ni DAR.
Kwa mawasiliano aliyetayari anakaribishwa PM.
SHUKRANI.
Unatafuta mke kuwa wazi au
 
Mkuu kwa mbinu hii lazima umpate mwenye sifa unazo taka, maana kwa usawa huu kumpata mw'mke mzuri ki muonekano halaf very sharp n smart minded inahitaji mipango na mikakati kama hii.
Hongera mkuu kwa kutumia mbinu za kisasa zaid, nyinyi ndio vijana mnao takiwa kwa sasa maana hawa viumbe wanahitaji zaid ya elim ya darasani kuwapata na hata kuwacontrol.
 
Mkuu kwa mbinu hii lazima umpate mwenye sifa unazo taka, maana kwa usawa huu kumpata mw'mke mzuri ki muonekano halaf very sharp n smart minded inahitaji mipango na mikakati kama hii.
Hongera mkuu kwa kutumia mbinu za kisasa zaid, nyinyi ndio vijana mnao takiwa kwa sasa maana hawa viumbe wanahitaji zaid ya elim ya darasani kuwapata na hata kuwacontrol.
Ha ha ha.
Hamna mkuu ni mfanyakazi tuu. Nilimpata anachapa kazi kinoma
 
Back
Top Bottom