Fursa kwa mdada mmoja

Fursa kwa mdada mmoja

Kama unampa gari si aende nyumbani kwake?kwa nini alale hapo?au kwa vile ana cheti cha uongozi unataka akuongoze kumtoboa?
Mbona mkuu una uchungu hivyo?
Kila business ina terms and conditions.
Ndiyo maana mtu akiridhika anafanya.
Siwezi kuendesha ratiba na mipango yangu for your opinion.
 
kuna mafunzo ya kuendesha gari tufanye aplikesheni?
 
Mshahara mnono!!! Ngoja nifikirie kwanza
 
Yupo bint ana sofa hizo lakini itabidi tukujue kwanza vizuri na iwe kama ulivyosema hapa..laa so hivyo itakuwa ni tatizo endelevu kwako...
Huwa hatu gawi sisi.. .hatukopeshi na wala hatuuzi....
 
Updates

Wakuu heshima kwenu.
Nimefanikiwa kupata mfanyakazi. Asanteni kwa ushirikiano.
Mods naomba Uzi ufungwe.
 
Back
Top Bottom