HahahaNifundishe kuna mtu nataka nimchune hela niende dar kula bata
Bongo kugumu,watu wanashindia mihogo na drip za kandoro.kweli bongo bahati mbaya
Na makomeo juu teh teh hatutakagi mchezo sisi,kwanza tumevurugwa na mjomba.Ingekuwa bongoooo loooh angechezea vitasaaa
Hujakosea mkuu shida tupu tunapambana tu na hali zetuBongo kugumu,watu wanashindia mihogo na drip za kandoro.
Kabisa mkuu.Hujakosea mkuu shida tupu tunapambana tu na hali zetu
bongo ukimwambia boyfriend akununulie hata Tecno ya promotion anakuandikia uzi Jamiforum mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Unanigawa wapi