Mkuu inawezekana sana.Bei ya iPHONE 7 20 pc's unanunua nyumba China!
Labda iwe ni kibanda,tena kibanda chenyewe kiwe huko Sitimbi ya China.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wanaume nao siku hizi wanasutaaa loooh
Labda Nokia ya tochi[emoji23]Naomba Tecno c9
Waombeni baba zenu..! Nao si wanapumbu kama siye boyfriend zenu, baba haana helaa (puani/nosal sound) chuma ulete wakubwa nyie.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bongo ukimwambia boyfriend akununulie hata Tecno ya promotion anakuandikia uzi Jamiforum mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Tuwe idadi ya 20=wote utuzawadie hiyo papuchi si itaota suguSawa mkinipa 20 nikiuza nitachezea kwenye laki 4
Unasemaaa!!?Hiii ni plastic material
Hatari nakwambia wanaume wa bongoo tunavumilia tu
lini nimekudanganya mm Demiss?!Unanidanganya wewe huwa sikuamini kabisa