Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,397
Mkuu Nitaifanya TuMkuu hii biashara sikushaur utajutia kuwekeza pesa zako, ina pesa ndio lakn changamoto zake ni kubbwa hasa hii ya kuandamwa na wazazi pamoja na wenyekiti wa mtaa ss iv wamechachamaa maana watoto na vijana wameanza mpk kuiba ili wapate pesa ya kucheza video games, hii biashara madhara inakaribia kufanana na ile ya madawa ya kulevya asee, sikukatishi tamaa lakn na de truth be told ohoo( nigerian voice), mm nimeifanya nigeria na bongo changamoto ni zile zile sema naija kuna wezi waliokubuhu ukisinzia kidg tu ofisini wateja wote hamna na hukuti ata kitu kimoja mpk viti wanabeba na polisi hawaishi kuja kukukamata