Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
- Thread starter
- #21
Utumishi Wanasifika kwa Kuwaweka Watoto wasiokua na Vibosile tena Mifano ninayo wewe Darasa Ulilokua unasoma hakuna watu wamepata Kazi kupitia Utumishi? Nadhani Hali zao Unazijua Mimi kuna Vijana wawili nawafahamu walipata Tena Mbili mbili ilibidi wachague Kipindi hicho walikua Wamefululiza kutoa Post.kupita kwa written haikupi guarantee ya kupata kazi
unaenda oral, hapo kama mzee wako mkulima utaishia kupata 89%
labda iwe kazi ya mshahara laki 3 na nusu