Funzo: Usahili wa TRA kwa graduate walioko JamiiForums

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Binafsi Nimeshangazwa na Idadi ya Watu wengi waliofeli huku kutwa Nzima Wakilalamikia Serikali.

Jamii Forum
Kiukweli inasaidia sana kosa la Kiufundi linalofanywa na graduates wengi ni Kushinda kwenye Majukwa kama Lile na Mahusiano, Mapenzi na Urafiki kutwa Nzima au Chit-Chati kuna wengine wanajiita Makapuku. Japo usishinde sana pia humu Mtu kama Maxence Melohata hashindi humu japo ni Mmiliki wa Jamii Forums unakuta Last seen yake two days ago wewe a moment ago.

Inasikitisha Mtihani Ule wa TRA ambao Wote ulikua Jamii Forums mtu anafeli

-Kuna Issue ya Ku Extend IPO ya Vodacom Niliileta Mimi Mwenye na Swali Lilitoka.

-Report ya Professor Osoro yote ipo humu
-Report ya Mruma yote ipo humu

-Hotuba ya Waziri wa Fedha ipo humu na hata vijijini huwa wanashikiria viredio na Kusikiliza, Jiji la Dar es Salaam lilivyo Busy lakini hata karikoo huwa watu wanafuatilia Budget.

-Hata hatua za Kuanzisha Biashara zipo humu.

Verdict: Majukwaa yote yana Manufaa Ila kama Bado unatafuta angalau shiriki katika Majukwaa yenye Elimu. Tuache kufuatilia mambo yasiyokua ya msingi Siku hizi kuna

Twitter
Instagram
Snap chat
Facebook
Whatsaap
Linked In
Tango
Jamii Forums

Ukitoa masa 8 ya Kulala unabakiwa na 16 yanaweza yasikutoshe kuvinjari kweye Social Networks mi binafsi Facebook, snap Chat, Instagram, Tango nilisha Unstal katika Simu yangu.

Jamii Forums ni Muhimu sana na Twitter ndo huwa natumia zaidi.


Vijana mnadharirika mwenzio anapata 89% wewe unapata 11% tuwe serious wakuu Mimi nilishawahi Kufanya Interview ya UN tulikua watanzania Watupu Hakuna mtu aliyepatikana Na Mimi Nilikuemo wakatangaza upya kazi. Watanzania Wengi tumesoma Ila Siyo Competent imagine mnafanya interview hakuna anayepita.


Taangu siku hiyo Nikabadilisha Maisha yangu at least kwa sasa Nina vitu Unique.

Tubadilishe Maisha Hakikisha Una Ratiba Maalum Unaweza kuchungulia JF saa Asubuhi, tea time, Lunch time, na night.
IMG_20170920_185601_121.JPG


God will not drive flies away from a tailless cow.
 
Noted.


ILa nijuze, ulijuaje kama UN pale wote hamkupita kwny intavyyu
 
Binafsi Nimeshangazwa na Idadi ya Watu wengi waliofeli huku kutwa Nzima Wakilalamikia Serikali.

Jamii Forum
Kiukweli inasaidia sana kosa la Kiufundi linalofanywa na graduates wengi ni Kushinda kwenye Majukwa kama Lile na Mahusiano, Mapenzi na Urafiki kutwa Nzima au Chit-Chati kuna wengine wanajiita Makapuku Bitoz, Dabby ndo mastaa wa Huko

Inasikitisha Mtihani Ule wa TRA ambao Wote ulikua Jamii Forums mtu anafeli

-Kuna Issue ya Ku Extend IPO ya Vodacom Niliileta Mimi Mwenye na Swali Lilitoka.

-Report ya Professor Osoro yote ipo humu
-Report ya Mruma yote ipo humu

-Hotuba ya Waziri wa Fedha ipo humu na hata vijijini huwa wanashikiria viredio na Kusikiliza, Jiji la Dar es Salaam lilivyo Busy lakini hata karikoo huwa watu wanafuatilia Budget.

-Hata hatua za Kuanzisha Biashara zipo humu.

Verdict: Majukwaa yote yana Manufaa Ila kama Bado unatafuta angalau shiriki katika Majukwaa yenye Elimu. Tuache kufuatilia mambo yasiyokua ya msingi Siku hizi kuna

Twitter
Instagram
Snap chat
Facebook
Whatsaap
Linked In
Tango
Jamii Forums

Ukitoa masa 8 ya Kulala unabakiwa na 16 yanaweza yasikutoshe kuvinjari kweye Social Networks mi binafsi Facebook, snap Chat, Instagram, Tango nilisha Unstal katika Simu yangu.

Jamii Forums ni Muhimu sana na Twitter ndo huwa natumia zaidi.


Vijana mnadharirika mwenzio anapata 89% wewe unapata 11% tuwe serious wakuu Mimi nilishawahi Kufanya Interview ya UN tulikua watanzania Watupu Hakuna mtu aliyepatikana Na Mimi Nilikuemo wakatangaza upya kazi. Watanzania Wengi tumesoma Ila Siyo Competent imagine mnafanya interview hakuna anayepita.


Taangu siku hiyo Nikabadilisha Maisha yangu at least kwa sasa Nina vitu Unique.

Tubadilishe Maisha Hakikisha Una Ratiba Maalum Unaweza kuchungulia JF saa Asubuhi, tea time, Lunch time, na night.
View attachment 594060
Mwingine kapata 89% mwingine kapata 4% na wote ni graduate, (sababu zaweza kuwa wa 49%-4% wengi wao walisoma international school kukaririshwa na kwenda chuo, na uko chuo walipita kwa madesa sana, hivyo maswali ya kutumia common senses na hali halisi ya maisha kama hayo maswali ya TRA inakuwa ngumu sana kujua kinachoendelea. Pili wengi walizoea kubebwa na vimemo bila hata kupitia mchujo kama huo.
 
Sio lazima JF, hata ukiwa mfuatiliaji wa contemporary issue unafanya, mfano mm
nilipata 77
 
Mwingine kapata 89% mwingine kapata 4% na wote ni graduate, (sababu zaweza kuwa wa 49%-4% wengi wao walisoma international school kukaririshwa na kwenda chuo, na uko chuo walipita kwa madesa sana, hivyo maswali ya kutumia common senses na hali halisi ya maisha kama hayo maswali ya TRA inakuwa ngumu sana kujua kinachoendelea. Pili wengi walizoea kubebwa na vimemo bila hata kupitia mchujo kama huo.
Yeap Kuna dogo mmoja kasoma International School, Saint Francis, Marian Secondary alikuja analia Akanionesha Matokeo yake alipata 38% na chuo ana GPA ya 4.3 . Wakati mwingine graduates wabadilike
 
kupita kwa written haikupi guarantee ya kupata kazi

unaenda oral, hapo kama mzee wako mkulima utaishia kupata 89%

labda iwe kazi ya mshahara laki 3 na nusu
 
Kuna watu niliwaambia, intaview ya TRA si ngum kwa mtembeleaji wa Jf. majib yte yapo jf
 
Yeap Kuna dogo mmoja kasoma Tanganyika International School, Saint Francis, Marian Secondary alikuja analia Akanionesha Matokeo yake alipata 38% na chuo ana GPA ya 4.3 . Wakati mwingine graduates wabadilike
Acha uongo...Usome IST uende Marian na St Francis...???

Acha uongo kabisa...Halafu kakuoneshaje..? Angali matokeo yapo kwa mfumo wa number...? Yani alikuonesha number yake. .??


Ukitunga uongo siku nyingine kuwa makini
 
Back
Top Bottom