diannajohn
Member
- Nov 13, 2016
- 76
- 8
Mi naomba nisaidie maswali naenda kufanya usaili idara ya maji kitengo cha sales assistant. Sijawah Fanya interview yoyote kabda maswal gan naweza kutana nayo?
Hahahahahahahhaaa aiseee watu wa jf ni nomaSishindani na Ubongo wako Mdogo Kijana Nina Maisha na Kazi Nzuri Tatizo ni Mentality tuu vijana Kujiweka Mbali na Walioshikilia Makali. Change!
Kwanini nikisex naye naona madude meupe kuuzunguka uume wangu?
Wewe huyo leo unaongea haya??Binafsi Nimeshangazwa na Idadi ya Watu wengi waliofeli huku kutwa Nzima Wakilalamikia Serikali.
Jamii Forum
Kiukweli inasaidia sana kosa la Kiufundi linalofanywa na graduates wengi ni Kushinda kwenye Majukwa kama Lile na Mahusiano, Mapenzi na Urafiki kutwa Nzima au Chit-Chati kuna wengine wanajiita Makapuku. Japo usishinde sana pia humu Mtu kama Maxence Melohata hashindi humu japo ni Mmiliki wa Jamii Forums unakuta Last seen yake two days ago wewe a moment ago.
Inasikitisha Mtihani Ule wa TRA ambao Wote ulikua Jamii Forums mtu anafeli
-Kuna Issue ya Ku Extend IPO ya Vodacom Niliileta Mimi Mwenye na Swali Lilitoka.
-Report ya Professor Osoro yote ipo humu
-Report ya Mruma yote ipo humu
-Hotuba ya Waziri wa Fedha ipo humu na hata vijijini huwa wanashikiria viredio na Kusikiliza, Jiji la Dar es Salaam lilivyo Busy lakini hata karikoo huwa watu wanafuatilia Budget.
-Hata hatua za Kuanzisha Biashara zipo humu.
Verdict: Majukwaa yote yana Manufaa Ila kama Bado unatafuta angalau shiriki katika Majukwaa yenye Elimu. Tuache kufuatilia mambo yasiyokua ya msingi Siku hizi kuna
Snap chat
Whatsaap
Linked In
Tango
Jamii Forums
Ukitoa masa 8 ya Kulala unabakiwa na 16 yanaweza yasikutoshe kuvinjari kweye Social Networks mi binafsi Facebook, snap Chat, Instagram, Tango nilisha Unstal katika Simu yangu.
Jamii Forums ni Muhimu sana na Twitter ndo huwa natumia zaidi.
Vijana mnadharirika mwenzio anapata 89% wewe unapata 11% tuwe serious wakuu Mimi nilishawahi Kufanya Interview ya UN tulikua watanzania Watupu Hakuna mtu aliyepatikana Na Mimi Nilikuemo wakatangaza upya kazi. Watanzania Wengi tumesoma Ila Siyo Competent imagine mnafanya interview hakuna anayepita.
Taangu siku hiyo Nikabadilisha Maisha yangu at least kwa sasa Nina vitu Unique.
Tubadilishe Maisha Hakikisha Una Ratiba Maalum Unaweza kuchungulia JF saa Asubuhi, tea time, Lunch time, na night.
View attachment 594060
Leo ni Mwaka gani?Wewe huyo leo unaongea haya??
Hakuna Kazi au Ajira yoyote hata ya muda mfupi?
Umenena mkuu!Interview syo kitu chepesi.inategemea umejiandaaje before interview na interview imeelekea direction ip.
Wewe mwenyewe ungefeli. Angalia hata prof. Osoro unasema Usoro. Huoni hata aibu kujifanya vijana hawajui kitu kumbe na wewe walewale.Dogo umefaulu huo mtihani nini?
Hongera kama umefaulu.
Graduates wengi wa kitanzania wamekarili masomo ya darasani tu, ukiwatwist kidogo wanaangukia pua.
Nje ya darasani hawajui kitu. Wako instagram na facebook wakishare page za utam unakuja utam unakata. Humu JF wako jukwaa la mapenzi, chit chat sijui na vitu gani.
Kuna wengine wamekuja ofisini kwetu kufanya field, wakaletwa kwangu niwaelekeze baadhi ya mambo, nikawauliza swali nililoliona kwenye usaili wa TRA la Mruma, wote wakasema hawajawahi kumsikia.
Niliwauliza tu Mruma au Urosso mlishawahi kumsikia, wote wakasema hapana, nikawauliza makinikia mliwahi kuyasikia, mmoja tu akasema alisikia kwenye taarifa ya habari ila hakujua ni nini.
Kwa kweli TRA nawapongeza kutoa mtihani ule, naomba taasisi zote za serikali zijikite kusaili vijana namna ile.
hahaha kasema Urosso mkuu sio UsoroWewe mwenyewe ungefeli. Angalia hata prof. Osoro unasema Usoro. Huoni hata aibu kujifanya vijana hawajui kitu kumbe na wewe walewale.
Haimaanishi kuwa na kazi unaakili kuliko wasio na kazi. Shame on you
Simple Logic Mkuu, kama mmefanya Interview, then Baadaye unaona Tangazo Re-Advertised kwenye post ile ile ambayo mlifanyia interview.Noted.
ILa nijuze, ulijuaje kama UN pale wote hamkupita kwny intavyyu
Anajifanya akili mingi wakati ..............hahaha kasema Urosso mkuu sio Usoro
asante sana kaka, acha niendelee kujifunza maana kesho nina interview nyingine tra.Binafsi Nimeshangazwa na Idadi ya Watu wengi waliofeli huku kutwa Nzima Wakilalamikia Serikali.
Jamii Forum
Kiukweli inasaidia sana kosa la Kiufundi linalofanywa na graduates wengi ni Kushinda kwenye Majukwa kama Lile na Mahusiano, Mapenzi na Urafiki kutwa Nzima au Chit-Chati kuna wengine wanajiita Makapuku. Japo usishinde sana pia humu Mtu kama Maxence Melohata hashindi humu japo ni Mmiliki wa Jamii Forums unakuta Last seen yake two days ago wewe a moment ago.
Inasikitisha Mtihani Ule wa TRA ambao Wote ulikua Jamii Forums mtu anafeli
-Kuna Issue ya Ku Extend IPO ya Vodacom Niliileta Mimi Mwenye na Swali Lilitoka.
-Report ya Professor Osoro yote ipo humu
-Report ya Mruma yote ipo humu
-Hotuba ya Waziri wa Fedha ipo humu na hata vijijini huwa wanashikiria viredio na Kusikiliza, Jiji la Dar es Salaam lilivyo Busy lakini hata karikoo huwa watu wanafuatilia Budget.
-Hata hatua za Kuanzisha Biashara zipo humu.
Verdict: Majukwaa yote yana Manufaa Ila kama Bado unatafuta angalau shiriki katika Majukwaa yenye Elimu. Tuache kufuatilia mambo yasiyokua ya msingi Siku hizi kuna
Snap chat
Whatsaap
Linked In
Tango
Jamii Forums
Ukitoa masa 8 ya Kulala unabakiwa na 16 yanaweza yasikutoshe kuvinjari kweye Social Networks mi binafsi Facebook, snap Chat, Instagram, Tango nilisha Unstal katika Simu yangu.
Jamii Forums ni Muhimu sana na Twitter ndo huwa natumia zaidi.
Vijana mnadharirika mwenzio anapata 89% wewe unapata 11% tuwe serious wakuu Mimi nilishawahi Kufanya Interview ya UN tulikua watanzania Watupu Hakuna mtu aliyepatikana Na Mimi Nilikuemo wakatangaza upya kazi. Watanzania Wengi tumesoma Ila Siyo Competent imagine mnafanya interview hakuna anayepita.
Taangu siku hiyo Nikabadilisha Maisha yangu at least kwa sasa Nina vitu Unique.
Tubadilishe Maisha Hakikisha Una Ratiba Maalum Unaweza kuchungulia JF saa Asubuhi, tea time, Lunch time, na night.
View attachment 594060
Ile portal imeeleza category za field husika.Dogo umefaulu huo mtihani nini?
Hongera kama umefaulu.
Graduates wengi wa kitanzania wamekarili masomo ya darasani tu, ukiwatwist kidogo wanaangukia pua.
Nje ya darasani hawajui kitu. Wako instagram na facebook wakishare page za utam unakuja utam unakata. Humu JF wako jukwaa la mapenzi, chit chat sijui na vitu gani.
Kuna wengine wamekuja ofisini kwetu kufanya field, wakaletwa kwangu niwaelekeze baadhi ya mambo, nikawauliza swali nililoliona kwenye usaili wa TRA la Mruma, wote wakasema hawajawahi kumsikia.
Niliwauliza tu Mruma au Urosso mlishawahi kumsikia, wote wakasema hapana, nikawauliza makinikia mliwahi kuyasikia, mmoja tu akasema alisikia kwenye taarifa ya habari ila hakujua ni nini.
Kwa kweli TRA nawapongeza kutoa mtihani ule, naomba taasisi zote za serikali zijikite kusaili vijana namna ile.
Anajifanya akili mingi wakati ..............
kumradhi boss naomba unitajie mfano wa hizo ofisi aiseeIle portal imeeleza category za field husika.
Revenue, tax na customs ilikuwa kwenye category ya trade and industry, hivyo ilitakiwa kujielekeza huko zaidi.
Waliofanya accounts waliletewa maswali ya profession kabisa.
Ushauri:
1. Unapoomba kazi angalia ipo kwenye category gani.
2.Ukifaulu written usibweteke na kujiona unajua kuliko waliofeli kwani unaweza kufeli oral
3. Wakati unatafuta kazi usiangalie ofisi zenye majina makubwa tu kama tra, pspf na nyingine kama hizo kwani ziko ofisi za kawaida zenye maslahi zaidi ya hizo
Ziko nyingi tu, usiangalie majina na majengo makubwa.kumradhi boss naomba unitajie mfano wa hizo ofisi aisee
poa mkuuZiko nyingi tu, usiangalie majina na majengo makubwa.
Na mimi wakati kutafuta kazi nilikuwa kama nyie ila baadae nikaacha kuchagua ofisi nikapata kazi yenye maslahi kuliko walioenda kwenye majengo makubwa.
Kazi ni za ajabu sana. Nyie mnataka muingie tra ila kuna watu tra wanatamani waondoke.
Ushauri:
Usikate tamaa katika kutafuta kazi.
Mimi nilikaa mtaani miaka 2 ndo nikapata kazi ila nilifanya interview za kutosha utumishi, Sumatra, nssf na zote nilienda oral ila kujuana kulikuwa juu sana ingawa sasa naona kunapungua.