Funzo kutoka kwa Madebe na Chanuo

Funzo kutoka kwa Madebe na Chanuo

Nimeikuta x twitter, hichi kisa cha hawa wasanii wawili kuachana, na kutupiana vijembe.

Kwa kusoma kwa kina , nimegundua huyo Madebe ndio Pumbavu takataka kabisa.

Unammtoa mwanamke mzuri, kwenye shida unamweka mjini ila wewe unashindwa kujinasua kwenye tabu na kuendana nae na wakati?

Ni aina ya wanaume wapumbavu kuwahi kutokea , ni kweli kamtoa bidada mzuri mbali ,,ila lenyewe lipo kama goigoi tu , linafuga kitambi uchwara cha pombe chafu na madevu uchwara 🚮

Ni mwanamke gani mzuri kama unaweza mfanya ajisimamie na wewe ukabaki kwenye uchafu na umaskini akakuvumilia, wajanja wa mjini wasikuchapie?gademitt.

Hawa wapumbavu kama madebe ndio wanasababisha tuna laumu wanawake bure kmmmmk.
Mbona nilikuwa namwona jamaaa akili nyingi sana??!!!
 
Aliyeandika huko twitter kawajua hawa jana.
Mwanamke gani atakubali kila siku kufua boksa zenye kinyesi?
Mapapai twendeee, michuz ya pweza ewalaaah, mafenesi! 😂

Sema jamaa mtata tu dem wameshaachana lakin kila siku anampost hadi leo hii kampost
 
Mapapai twendeee, michuz ya pweza ewalaaah, mafenesi! 😂

Sema jamaa mtata tu dem wameshaachana lakin kila siku anampost hadi leo hii kampost
Anataka kwenda mjini kwa jina la binti.
 
Anataka kwenda mjini kwa jina la binti.
Yule mshkaj msanii mkubw tu pengine kulko chanuo. Sema kakwama sana kwenye muundo wa series zake. Yan mambo waliyofanya kina mkojani wakapotea na yeye anarudia yaleyale.

Dem kapata shavu na wajuba wameliota tako lile wametia hela. Mshkaj matunzo ziro alaf anapenda ngono kMa mm kila dem anamtaka mpaka wafanyakaz wake anataka kula. Sometimez anaharibu kabisa mpaka muonekano wake kama kioo cha jamii
 
Hakuna aliyekamilika hata yule dada ana mapungufu yake ila madebe a anazidi kujidhihirisha upumbavu wake waziwazi, mwanaume anayekaa kumuongelea ex wake kila kukicha bila sababu ni wazi ni upumbavu unamsumbua...akilini mwake anatamani kumchafua bi dada dunia nzima ione ana mapungufu lakini pia yule dada alichoka akamuacha madebe akiwa anadhani keshamzalisha hakuna fasi ataenda, anashangaa kaolewa hashughuliki naye tena! Maumivu anayopata moyoni kama ya kujikwaa kwenye kakidole kadogo mguuni
 
Madebe Lidai yule anajiita Nabii Mswahili? Angeachana tu na yule mwanamke afanye mambo yake. Kwenye vita ya maneno kati ya mwanamke na mwanaume tena mbele ya jamii mwanaume hajawahi na hatawahi kushinda hata siku moja. By the way jamaa ni mtu mzima sana afu uyo Demu naona ni kama sampuli za Gen-Z. Tunarudi pale pale, oa mwanamke unaemmudu. Ishi nae vizuri timiza wajibu wako vizuri kama Mume na Baba wa familia. Narudia tena; Ndoa hua ni ya mwanamke, akiamua iwepo itakuepo, akiamua isiwepo hata ufanye nini haitokuepo, utaishia kudhuru na hata kuua uende jela bure. Cha kushangaza kwenye vita ya mwanamke na mwanaume hata wanaume wenzio wanakukataa wanakaa upande wa mwanamke. Haya mambo ni ya kuachana nayo tu, jamaa anakosa washauri wazuri.
 
Nimeikuta x twitter, hichi kisa cha hawa wasanii wawili kuachana, na kutupiana vijembe.

Kwa kusoma kwa kina , nimegundua huyo Madebe ndio Pumbavu takataka kabisa.

Unammtoa mwanamke mzuri, kwenye shida unamweka mjini ila wewe unashindwa kujinasua kwenye tabu na kuendana nae na wakati?

Ni aina ya wanaume wapumbavu kuwahi kutokea , ni kweli kamtoa bidada mzuri mbali ,,ila lenyewe lipo kama goigoi tu , linafuga kitambi uchwara cha pombe chafu na madevu uchwara 🚮

Ni mwanamke gani mzuri kama unaweza mfanya ajisimamie na wewe ukabaki kwenye uchafu na umaskini akakuvumilia, wajanja wa mjini wasikuchapie?gademitt.

Hawa wapumbavu kama madebe ndio wanasababisha tuna laumu wanawake bure kmmmmk.
Ukikorofishana na mkeo/demu wako tegemea neno lolote lenye ukakasi.
 
Madebe Lidai yule anajiita Nabii Mswahili? Angeachana tu na yule mwanamke afanye mambo yake. Kwenye vita ya maneno kati ya mwanamke na mwanaume tena mbele ya jamii mwanaume hajawahi na hatawahi kushinda hata siku moja. By the way jamaa ni mtu mzima sana afu uyo Demu naona ni kama sampuli za Gen-Z. Tunarudi pale pale, oa mwanamke unaemmudu. Ishi nae vizuri timiza wajibu wako vizuri kama Mume na Baba wa familia. Narudia tena; Ndoa hua ni ya mwanamke, akiamua iwepo itakuepo, akiamua isiwepo hata ufanye nini haitokuepo, utaishia kudhuru na hata kuua uende jela bure. Cha kushangaza kwenye vita ya mwanamke na mwanaume hata wanaume wenzio wanakukataa wanakaa upande wa mwanamke. Haya mambo ni ya kuachana nayo tu, jamaa anakosa washauri wazuri.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom