Funzo kutoka kwa Madebe na Chanuo

Funzo kutoka kwa Madebe na Chanuo

Kale kajamaa ni kipumbavu, kamempa chanuo nafasi ya kuonekana ila kenyewe kakajisahau na kubaki na upumbavu wa mitara na ujinga ujinga wa kiswahili tu🚮
Labda umewajua juzi! Alikua anamminya asiigize demu akawa kachakaa baada ya kuachana binti alikosa hadi pakukaa ila akapata nafasi ya kuigiza ndo hivyo unavyomuona anang'aa siku hizi.

Jamaa ni wale watu awe na hela asiwe nazo yeye ataonekana tu mchafu.
 
Nimeikuta x twitter, hichi kisa cha hawa wasanii wawili kuachana, na kutupiana vijembe.

Kwa kusoma kwa kina , nimegundua huyo Madebe ndio Pumbavu takataka kabisa.

Unammtoa mwanamke mzuri, kwenye shida unamweka mjini ila wewe unashindwa kujinasua kwenye tabu na kuendana nae na wakati?

Ni aina ya wanaume wapumbavu kuwahi kutokea , ni kweli kamtoa bidada mzuri mbali ,,ila lenyewe lipo kama goigoi tu , linafuga kitambi uchwara cha pombe chafu na madevu uchwara 🚮

Ni mwanamke gani mzuri kama unaweza mfanya ajisimamie na wewe ukabaki kwenye uchafu na umaskini akakuvumilia, wajanja wa mjini wasikuchapie?gademitt.

Hawa wapumbavu kama madebe ndio wanasababisha tuna laumu wanawake bure kmmmmk.
Huko mjini kwenu mazeee kila anayetoka kijijni akija anakuwa selebriti.
 
Labda umewajua juzi! Alikua anamminya asiigize demu akawa kachakaa baada ya kuachana binti alikosa hadi pakukaa ila akapata nafasi ya kuigiza ndo hivyo unavyomuona anang'aa siku hizi.

Jamaa ni wale watu awe na hela asiwe nazo yeye ataonekana tu mchafu.
Hana hela hata muonekano wake upo kinguruwe nguruwe tu
 
Et kumbe wanaume walioko kwenye ndoa mnajinyea?
Huyu Dada naye hajui kuficha madhaifu ya mwenzq wake
 
Back
Top Bottom