Tulia bro😁 mambo vipi laknSure?
Zina sembe tenaAliyeandika huko twitter kawajua hawa jana.
Mwanamke gani atakubali kila siku kufua boksa zenye kinyesi?
Unalamba tu ausio😂Hahaha nipo poa bwashee, bia tu hapa kwa mstari
😃😃Nimeikuta x twitter, hichi kisa cha hawa wasanii wawili kuachana, na kutupiana vijembe.
Kwa kusoma kwa kina , nimegundua huyo Madebe ndio Pumbavu takataka kabisa.
Unammtoa mwanamke mzuri, kwenye shida unamweka mjini ila wewe unashindwa kujinasua kwenye tabu na kuendana nae na wakati?
Ni aina ya wanaume wapumbavu kuwahi kutokea , ni kweli kamtoa bidada mzuri mbali ,,ila lenyewe lipo kama goigoi tu , linafuga kitambi uchwara cha pombe chafu na madevu uchwara 🚮
Ni mwanamke gani mzuri kama unaweza mfanya ajisimamie na wewe ukabaki kwenye uchafu na umaskini akakuvumilia, wajanja wa mjini wasikuchapie?gademitt.
Hawa wapumbavu kama madebe ndio wanasababisha tuna laumu wanawake bure kmmmmk.
Ndoa ina mengi! Wanaume wa Dar lolote linawezekana.Hii twiti utajuaje kama ni huyo mwanamke kaamua kumchafua huyo mbigwa tu?
Kabisa mkuu, suala la kuoa siku hizi ni kama kufanya betting.Kuna kitu umekipata hapo?
Kale kajamaa ni kipumbavu, kamempa chanuo nafasi ya kuonekana ila kenyewe kakajisahau na kubaki na upumbavu wa mitara na ujinga ujinga wa kiswahili tu🚮Ndoa ina mengi! Wanaume wa Dar lolote linawezekana.
Ndoa yenyewe ilikua ya mitala
Akutukanaye hakuchagulii tusiZina sembe tena
JF inaangamia. Hivi kweli hata wewe unaupa promo huu ujinga? Unaweza kuthibitisha kama huyu kijana alikuwa anaacha kinyesi kwenye boksa??Aliyeandika huko twitter kawajua hawa jana.
Mwanamke gani atakubali kila siku kufua boksa zenye kinyesi?
Mpunguze basi ujuaji! Majukwaa zaidi ya 10 nenda jamii intelligenceJF inaangamia. Hivi kweli hata wewe unaupa promo huu ujinga? Unaweza kuthibitisha kama huyu kijana alikuwa anaacha kinyesi kwenye boksa??
min -me leo umechafukwa sana jitaidi sana usikereke kwa namna hii inafupisha maisha 😃Nimeikuta x twitter, hichi kisa cha hawa wasanii wawili kuachana, na kutupiana vijembe.
Kwa kusoma kwa kina , nimegundua huyo Madebe ndio Pumbavu takataka kabisa.
Unammtoa mwanamke mzuri, kwenye shida unamweka mjini ila wewe unashindwa kujinasua kwenye tabu na kuendana nae na wakati?
Ni aina ya wanaume wapumbavu kuwahi kutokea , ni kweli kamtoa bidada mzuri mbali ,,ila lenyewe lipo kama goigoi tu , linafuga kitambi uchwara cha pombe chafu na madevu uchwara 🚮
Ni mwanamke gani mzuri kama unaweza mfanya ajisimamie na wewe ukabaki kwenye uchafu na umaskini akakuvumilia, wajanja wa mjini wasikuchapie?gademitt.
Hawa wapumbavu kama madebe ndio wanasababisha tuna laumu wanawake bure kmmmmk.