Funzo kutoka kwa Madebe na Chanuo

Funzo kutoka kwa Madebe na Chanuo

Nimeikuta x twitter, hichi kisa cha hawa wasanii wawili kuachana, na kutupiana vijembe.

Kwa kusoma kwa kina , nimegundua huyo Madebe ndio Pumbavu takataka kabisa.

Unammtoa mwanamke mzuri, kwenye shida unamweka mjini ila wewe unashindwa kujinasua kwenye tabu na kuendana nae na wakati?

Ni aina ya wanaume wapumbavu kuwahi kutokea , ni kweli kamtoa bidada mzuri mbali ,,ila lenyewe lipo kama goigoi tu , linafuga kitambi uchwara cha pombe chafu na madevu uchwara 🚮

Ni mwanamke gani mzuri kama unaweza mfanya ajisimamie na wewe ukabaki kwenye uchafu na umaskini akakuvumilia, wajanja wa mjini wasikuchapie?gademitt.

Hawa wapumbavu kama madebe ndio wanasababisha tuna laumu wanawake bure kmmmmk.
😃😃
 
Nimeikuta x twitter, hichi kisa cha hawa wasanii wawili kuachana, na kutupiana vijembe.

Kwa kusoma kwa kina , nimegundua huyo Madebe ndio Pumbavu takataka kabisa.

Unammtoa mwanamke mzuri, kwenye shida unamweka mjini ila wewe unashindwa kujinasua kwenye tabu na kuendana nae na wakati?

Ni aina ya wanaume wapumbavu kuwahi kutokea , ni kweli kamtoa bidada mzuri mbali ,,ila lenyewe lipo kama goigoi tu , linafuga kitambi uchwara cha pombe chafu na madevu uchwara 🚮

Ni mwanamke gani mzuri kama unaweza mfanya ajisimamie na wewe ukabaki kwenye uchafu na umaskini akakuvumilia, wajanja wa mjini wasikuchapie?gademitt.

Hawa wapumbavu kama madebe ndio wanasababisha tuna laumu wanawake bure kmmmmk.
min -me leo umechafukwa sana jitaidi sana usikereke kwa namna hii inafupisha maisha 😃
 
Back
Top Bottom