Funzo kutoka kwa Elevenn/de Gunner

Funzo kutoka kwa Elevenn/de Gunner

Upumbavu huu, unamiliki multiple ids unakuja kujiandikia thread na kujisifia ili iweje ? Kuna malipo kuwa huku ? Ujuha wa hali ya juu sana
 
Kumbe De gunner na eleven na huyu ndo mtu mmoja, huyu eleven namjua kuna kipind alkuw hana kaz kabisa nimamuunga pale rangi na jamaa flan hiv wakampa sehem ashone nguo.

Hakuw hiv au kapigwq na maisha sana kawa chiz frem, mwez ukiwa mchanga minara haisomi
Dah!!🤣
 
Kuna jamaa nakumbuka nae alkiuaga na pigo hizi, yan yeye akikuambia nyumban kwang nina TV ya nchi 55 ukambishia kuwa hana hela au uwezo huo kesho anakodi bodaboda anakuja nayo kukuonesha kabisa.

What you think about this kind?
😹😹😹 Mtsieeww em toka huko!!
Nia yako mbavu ziniume..!!
 
Ni dogo tu wa makamo, na kama ndo hivyo kun kipindi nilipaleka vijana wakabandike bango za yas. Ukafanyikq ujinga ujinga flan hiv wakadhulumiwa, wakaja hapa kunililia sana kwamba mm tapeli.
😹😹😹 Dah nimecheka sana anapiga michongo mbalimbali ya kingadu..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom