Fungua Pattern Za Simu Ya Kichina Au Copy Ilioshindikana

Fungua Pattern Za Simu Ya Kichina Au Copy Ilioshindikana

Hiyo simu tecno d3 bado unayo ya kutoa pattern. Nlikutana nayo moja ikatoka
 
Hiyo simu tecno d3 bado unayo ya kutoa pattern. Nlikutana nayo moja ikatoka

Nipe ujanja kaka maana nishaishiwa ujanja kabisa na hii sio D3 ni clone ya D3 inawaka inaonesha BML na sio techno japo juu imeandikwa Tecno
 
kwenye swala la pattern mmefika nyumbani kwake,cjawahi shindwa kutoa pattern..ila zipo zilizo nizingu.na pattern zote natoa kma co kwa combination key,bc natumia software tofauti tofauti,na sijawahi kutumia box kwaajili ya pattern
 
ikiwa spreadtrum chipset,kuna software inatumika bila ya box,na ikiwa MTK mara nyingi zinakua hazina recovery.so u have 2 install by software then una boot kwenye recovery
 
Kuna Tecno D3 clone ikiwaka inaandika BML kuna mtu kaniletea kafanya too many Pattern attempts sijui aliiba au la ila nkaniomba nimpe msaada maana anadai yeye email aliwekewa hivo haijui hivo nimpigie factory reset...

Kitu cha kushangaza hii simu haipigwi Factory reset kwa combination ya hizi keys Home,volume up/down na Power off button

Yaani ikibahatika inakuja triangle yenye error au inakuja menu inakwambia "Phone test"

Hii simu naweza sema ni komesha ya wezi maana haipigiwi factory reset kwa njia za juu juu

Hold volume dwn wakat ukiiwasha hadi itokee triangle yenye error. Ikija hiyo triangle yenye error usijali, just bonyeza home button itakuletea menu ya ku-reset na ku-wipe. Mwendo mdundo
 
Naomba hiyo link ya hiyo softwate
Ambayo utaweza kuondo paattarn
Plz
 
Samsung galaxy s4 nataka kutoa screen lock password plse

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
nimenunua Huawei P6 shida ni apps za kichina siwezi download ninachotaka coz options ziko kwa kichina.
ila lugha niisha badilisha in general bado kwa apps.
shida ni nn?plz help
 
Tatizo lenu nyie Mnataka kila kitu mkikute jamii Forum. Hiyo D3 haitolewi lock kivip?, niletee mimi nije nione kama itanishinda kuiboot from Recovery Mode!
 
Kuna Tecno D3 clone ikiwaka inaandika BML kuna mtu kaniletea kafanya too many Pattern attempts sijui aliiba au la ila nkaniomba nimpe msaada maana anadai yeye email aliwekewa hivo haijui hivo nimpigie factory reset...

Kitu cha kushangaza hii simu haipigwi Factory reset kwa combination ya hizi keys Home,volume up/down na Power off button

Yaani ikibahatika inakuja triangle yenye error au inakuja menu inakwambia "Phone test"

Hii simu naweza sema ni komesha ya wezi maana haipigiwi factory reset kwa njia za juu juu
Ulijaribu kutumia miracle box?
 
Nina ka itel it 1353
Nimefanya njia zote kamegoma,zaidi inakuja menu ya test hamna kuboot.
 
Sio mtaalam wa mambo haya ila simu zangu huwa naroot mwenyewe, nabadilisha rom mwenyewe yaan kila kitu. Ni mimi na google /youtube kisha nafuata maelekezo. Nilishawahi kufufua bricked HTC INCREDIBLE s baada ya kujifungia geto kwa masaa 9.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom