Fundi simu aina zote (flashing and unlocking) only software problems.

Fundi simu aina zote (flashing and unlocking) only software problems.

No need to hurry,
when unlocks available i will contact you.
coz i have all your phone details into my online ordering system.
nina simu yangu ya Nokia x6 naipenda sana hii simu yangu ni origina tatizo nilichelew ku update fame ware yake imejilock kabisa haiwaki tena nafikiri mpaka kuiflash nitashukuru kama utanisaidia hii kazi naipenda san simu yangu,utanifanyia kazi ndio nikulipe hela ikikataa tutagawana hasarabut hope utaiweza.nipo posta DSM
 
nina simu yangu ya Nokia x6 naipenda sana hii simu yangu ni origina tatizo nilichelew ku update fame ware yake imejilock kabisa haiwaki tena nafikiri mpaka kuiflash nitashukuru kama utanisaidia hii kazi naipenda san simu yangu,utanifanyia kazi ndio nikulipe hela ikikataa tutagawana hasarabut hope utaiweza.nipo posta DSM

Ok ilete ofisini kwa ajili ya kuiflash.
Pia hata ikigoma kuwaka hauta lipa gharama yoyote.
Utalipia tu kama simu yako itakua safi ka mwanzo.

Tupo kariakoo mtaa wa uhuru karibu na Akiba Commercial Bank au karibu na Valentino hotel
ukifika piga simu 0715353108, 0756144060 nakuja kukuchukua ulipo.
 
nina camera aina ya SONNY haisomi vzr memory card, nikiiweka inanambia memory card locked au re-insert memory card, hili tatzo limekuwa likijirudia mara kwa mara! unaweza kuirekebisha?

Kuna kaswitch kapo kwenye memory kadi zingatia hako wakati unaiweka hata mimi nilishapatwa na tatizo kama hilo kumbe kale ka lock kanajilock wakati naingiza me card.huwa kapo kwenye adapter au memory card kwa pembeni.
 
Kuna kaswitch kapo kwenye memory kadi zingatia hako wakati unaiweka hata mimi nilishapatwa na tatizo kama hilo kumbe kale ka lock kanajilock wakati naingiza me card.huwa kapo kwenye adapter au memory card kwa pembeni.
dada white kile kidude kwenye adapter nilikuwa nahisi tatzo lipo hapo lakn ilifika mda nkanunua adapter nyingne na memory card mpya tatzo likaendelea kuwa lile lile.......
 
Last edited by a moderator:
dada white kile kidude kwenye adapter nilikuwa nahisi tatzo lipo hapo lakn ilifika mda nkanunua adapter nyingne na memory card mpya tatzo likaendelea kuwa lile lile.......
Hapo sina la kuongeza mi sio fundi dia nilijaribu tu nione kama itakusaidia.
 
Last edited by a moderator:
Nina nokia n77 niliformat juz kwa tatizo la camera.
Main camera haidisplay chochote zaid ya menu ya camera lakini hata black haionyesh zaidi unaona menu na theme ya simu.
 
Fundi nina htc hd2 ina windows 6,
can u do android for it?\how much ?
how long?
 
Back
Top Bottom