sirleondavid
JF-Expert Member
- Sep 30, 2012
- 377
- 25
- Thread starter
- #201
Guys now tunarepair deadboot for htc,samsung,sony and other windows and android based fones with qualcomm CPU.
mkuu nina htc inawaka mpaka htc logo then dark screen inatokea halaf sipo dar nifanyeje
Factory unlock your iphone from us
Mkuu, asante kwa taarifa.
Mimi nina Iphone 4 yangu nilipatiwa toka Canada.
Nimezunguka sehemu nyingi Dar wananizingua tu, mara ku-unlock itachukua siku tatu, mara kifaa gani sijui hatuna. Mwingine naye nikapelekwa kwake nikamwachia simu si alikaa nayo wiki mbili karibia tatu eti bado anasubiri kuna foleni ktk system ya ku-unlock toka kwa service providers online.
Alipokuja kumaliza bado simu haifanyi kazi na pesa amenilia. Shit!
Simu nimeamua kuiacha mwanagu anachezea tu.
Inbox me your price ili niangalie kama naweza kumtuma mtu ailete simu hiyo kwako LAKINI nitakulipa ukishaifanya ifanye kazi (hakuna cha kukulipa pesa ya kugundua tatizo wala ya kutanguliza) - I will pay you malipo yote ukiifanya ifanye kazi.
Huyo fundi mjinga amenilia pesa halafu simu bado iko vile vile, kwa sasa nafuatilia anilipe na anahangaika kutafuta pesa ya kunilipa.
Utanisaidiaje?
Mkuu htc desire yangu imegoma camera na video ukutaka kutumia cam au video inazima halafu inawaka nimepeleka kuflash imeshindikana ila kuna fundi mmoja amesema ni sensor zimekufa ila hazipatikani je unaiweza?
mkuu tupo na volunteer mmoja hapa ofisini kwetu, yupo na Iphone ila aliisahau kuiunlock, sasa amefika bongo amejaribu ameambiwa it is only possible kuinulock akiwa UK tuu na sio pengine, je unaweza kuifungua ili aweze kuitumia hapa bongo?
....betri original za i phone 3 mnazo ? bei ikoje....mnapatikana pande zipi kama vipi niwazukie...WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES
UNLOCKING ANY GSM PHONES
- IPHONES
- NOKIA
- SAMSUNG
- ALCATEL
- BLACKBERRY
UNLOCKING ANY GSM MODEM
- ZTE
- HUAWEI
- VODAFONE
FLASHING ANY GSM PHONE
- IPHONES
- NOKIA
- SAMSUNG
- ALCATEL
- BLACKBERRY
JAIL BRAKING IOS
ROOTING ANDROID OS
CONTACTS
0715353108
0756144060
E-mail: mwamalekela@gmail.com
Fundi niliformat memoli kadi yangu ya simu ya sumsung bahati mbaya je unaweza kurudisha picha zilizigormatiwa kwenye iyo memory card?