Fundi simu aina zote (flashing and unlocking) only software problems.

Fundi simu aina zote (flashing and unlocking) only software problems.

habari fundi, simu yangu Nokia 2730 kila nikitaka kwenda kwenye uwanja wa kuandikia msg au kusoma inbox inakataa inasema "message storage memory not ready" nisaidie tafadhali
 
Mkuu nina huawei U8650 inatumia line ya Tgo je waweza kui unlock?
 
mkuu nimefanya yote hola au nikaiflash simu?

ok poa njoo nayo ofisini tuifanyie check up.
Tupo kariakoo mtaa wa uhuru karibu na Akiba Commercial Bank au karibu na Valentino hotel
ukifika piga simu 0715353108, 0756144060 nakuja kukuchukua ulipo.
 
Hivi unaweza kufanya maujanja yoyote ili blackberry torch isitumie package na niweze kuona youtube?
 
Asee nina express music yangu nokia 5130 nataka software ya zamani íi mpya niliwekewa baada ya kuwa inastack kila wakati ikiwashwa. Sasa nikaenda kuflash imekua nzito na amejaza ma application ambayo siyataki...
 
habari fundi, simu yangu Nokia 2730 kila nikitaka kwenda kwenye uwanja wa kuandikia msg au kusoma inbox inakataa inasema "message storage memory not ready" nisaidie tafadhali

it has to be flashed,
the problem caused by cache memory full.

it will be ok and work normally.
 
Asee nina express music yangu nokia 5130 nataka software ya zamani íi mpya niliwekewa baada ya kuwa inastack kila wakati ikiwashwa. Sasa nikaenda kuflash imekua nzito na amejaza ma application ambayo siyataki...

software mpya kivipi?
ulifanya upgrade from old OS to new one?
if yes dont try to downgrade, you will brick your phone
 
software mpya kivipi?
ulifanya upgrade from old OS to new one?
if yes dont try to downgrade, you will brick your phone

hii software kimeo nikidownload kitu inaandika no certificate in phone or sim. Mfano mzuri ni ucbrowser. Halaf siwezi hata kupokea comfigaration inaandika hazisuport. Nimejaziwa appl. Mpaka kero. Nataka software ya zaman naona hii ni kimeo na simu ni mzito
 
hii software kimeo nikidownload kitu inaandika no certificate in phone or sim. Mfano mzuri ni ucbrowser. Halaf siwezi hata kupokea comfigaration inaandika hazisuport. Nimejaziwa appl. Mpaka kero. Nataka software ya zaman naona hii ni kimeo na simu ni mzito

try to set time to correct current time.
but if you downgrade from that version your phone will get bricked security area,
and imei will become 12345???
 
Software ya zaman ilileta mushkel ndio nikaenda kuflash. Nimeset up to date time. Na nataka kufuta hizi app ambazo situmii. Kwanin siwez kuweka application kama uc web browser. Embu ntafutie solution maana raha yake imepotea.
try to set time to correct current time.
but if you downgrade from that version your phone will get bricked security area,
and imei will become 12345???
 
Software ya zaman ilileta mushkel ndio nikaenda kuflash. Nimeset up to date time. Na nataka kufuta hizi app ambazo situmii. Kwanin siwez kuweka application kama uc web browser. Embu ntafutie solution maana raha yake imepotea.

ok poa njoo nayo ofisini tuifanyie check up.
Tupo kariakoo mtaa wa uhuru karibu na Akiba Commercial Bank au karibu na Valentino hotel
ukifika piga simu 0715353108, 0756144060 nakuja kukuchukua ulipo.
 
sasa mimi niatafanye na hili toy sasa?
au ni lini itakua tayari??

inakera sana

No need to hurry,
when unlocks available i will contact you.
coz i have all your phone details into my online ordering system.
 
Back
Top Bottom