Nimependwa na Yesu Kristo
Member
- Mar 28, 2017
- 8
- 8
Habari ya uzima, wandugu,
Nina uhitaji wa fundi mzuri wa piano , kwa yeyote ambaye anafahamu fundi mzuri wa piano popote pale Dar es salaam , tafadhali naomba nielekeze anapopatikana na kushare pia mawasiliano yake.
Asante kwa ushirikiano.
Nina uhitaji wa fundi mzuri wa piano , kwa yeyote ambaye anafahamu fundi mzuri wa piano popote pale Dar es salaam , tafadhali naomba nielekeze anapopatikana na kushare pia mawasiliano yake.
Asante kwa ushirikiano.