mossTV
Member
- Apr 10, 2023
- 55
- 35
- TV yako haiwaki?
- TV yako inajizima?
- TV yako unasikia sauti huoni picha?
- TV yako inawaka nusu hazijazi kioo?
- TV yako imeingia giza upande mmoja?
- TV yako imeua taa?
- TV yako inarangi moja, njano, blue, nyekundu?
- TV yako inawaka taa nyekundu tu?
- TV yako haina sauti?
- TV yako inaonyesha mistali?
- TV yako imeingiza mistali ya kulukaluka?
- TV yako inaonyesha picha mbili?
- TV yako inawaka na kujizima?
- TV yako inaonyesha kama mawingu ya rangi?
- TV yako inaonyesha picha inaganda?
- TV yako inaonyesha mwanga mweupe?
- TV yako inawaka haiandiki chochote?
- TV yako imepasuka ki00? vioo vipo, kioo size 32" ni 160,000, kioo 43 ni 360,000. Size zingine za vioo tuwasiliane.
Karibuni wenye tatizo na TV zenu, ofisi ipo Ilala mtaa wa Pangani.