buzitata
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,997
- 7,068
Habarini
Nitatumia lugha nyepesi Ili Kila mwenye uhitaji aweze kufaidika
Kumekuwepo na matatizo mengi yanayoripotiwa na wamiliki wa hizi TV za kisasa hasa kwenye upande wa kioo ama kutowaka kabisa.
Naomba niende kwenye chanzo kikuu.
Chanzo kikuu kinachoharibu hizi TV ni uwepo wa umeme usio na mpangilio, usishangae kuhusu mpangilio.
Tv ni kifaa kinachochakata taarifa iliyopokea na kwenda kuwa katika mfumo wa picha ama sauti Kwa kutumia umeme(Kwa lugha nyepesi tunaweza kuita demodulation)
Kwaiyo tunaona kwamba Ili tv Yako iweze kubadilisha hizo taarifa inazopokea ni lazima itahitaji umeme.
Vitu viwili ni maarufu kama volt na current (ampare) lakin Kwa ndani Zaid Kuna frequence pamoja na ohms na mwisho inaingia power factor kama mzigo. Hapa naomba tuondoke na hivyo viwili (volt na ampare)
Volt Kwa lugha nyepesi tunaweza kusema ni Ile nguvu inayosukuma umeme(unaweza kuwa 220, 230,240v na kuendelea). Current ama ampare ndio hasa inayochoma tv Yako ikisaidiwa sambamba na volt, hiyo ni kutokana na power inayohitajika.
Kifaa Cha umeme kinahitaji kuifikia power Fulani Ili kiweze kufanya kazi
Volt×ampare=power
V×A×cosQx√phase=power
Chukua hiyo ya mwanzo Ili tuende sambamba(v×A=power)
Kwa mfano
220v×10A=2200watt
Sasa ikitokea hiyo volt imepungua italazimika current iongezeke Ili kuifikia hyo power ya 2200w ama current ikipungua itahitajika volt iongezeke Ili kuifikia hyo watt ya 2200w
Kama una swali utauliza kwenye comment
Huu umeme wetu tunaoutumia huku majumbani kwetu haupo stable Kwa kuweza kumaintain uwiano wa volt pamoja na ampare
Kwaiyo unakuta Kuna kipindi unapanda juu sana na Kuna kipindi unashuka chini. Umeme ukiwa unashuka hapo mara nyingi kunakua hakuna madhara sana ila madhara ya nakuja pale ambapo umeme unalazimisha Kuja juu Ili kuweka uwiano wa volt pamoja na current
Pale ambapo umeme unakuja juu mara nyingi vifaa ama components ambazo zinafanya kazi kwenye tv Yako vinashindwa kustahimili ule umeme na kupelekea vifaa hivyo kufa(kuungua)
Ukiona nyumbani kwako unatumia umeme na taa kama zinafifia flani ivi mara zinawaka sana basi jua hapo umeme haupo sawa sawa hivyo inakupasa kuzima ama kuacha kutumia vifaa vyako vya umeme ambavyo ni rahisi kuungua kama TV na friji pamoja na baadhi ya radio.
Njia Bora kabisa ya kuweza kutatua tatizo Hilo la umeme kutokuwa katika uwiano mzuri ni vema ukanunua stabilizer ambayo inafanya kazi ya kusawazisha umeme na kutoa kile kiwango ambacho TV Yako inaweza kustahimili na kuendelea kufanya kazi, japo sio Kwa asilimia 100 ila at least inaweza kuokoa Kwa asilimia 75.
Kwann umeme haupo stable?
Kuna sababu nyingi sana ambazo zinafanya umeme usiwe imara na hasa mara nyingi ni sababu zinazochangiwa na vifaa vinavyotumika kuzalisha umeme(TANESCO)
Kama una swali unaweza kuuliza kwenye comment na wanajukwaa wengine wanaweza kusaidia kutoa michango yao
NUNUA STABILIZER ILI KULINDA TV YAKO
Nitatumia lugha nyepesi Ili Kila mwenye uhitaji aweze kufaidika
Kumekuwepo na matatizo mengi yanayoripotiwa na wamiliki wa hizi TV za kisasa hasa kwenye upande wa kioo ama kutowaka kabisa.
Naomba niende kwenye chanzo kikuu.
Chanzo kikuu kinachoharibu hizi TV ni uwepo wa umeme usio na mpangilio, usishangae kuhusu mpangilio.
Tv ni kifaa kinachochakata taarifa iliyopokea na kwenda kuwa katika mfumo wa picha ama sauti Kwa kutumia umeme(Kwa lugha nyepesi tunaweza kuita demodulation)
Kwaiyo tunaona kwamba Ili tv Yako iweze kubadilisha hizo taarifa inazopokea ni lazima itahitaji umeme.
Vitu viwili ni maarufu kama volt na current (ampare) lakin Kwa ndani Zaid Kuna frequence pamoja na ohms na mwisho inaingia power factor kama mzigo. Hapa naomba tuondoke na hivyo viwili (volt na ampare)
Volt Kwa lugha nyepesi tunaweza kusema ni Ile nguvu inayosukuma umeme(unaweza kuwa 220, 230,240v na kuendelea). Current ama ampare ndio hasa inayochoma tv Yako ikisaidiwa sambamba na volt, hiyo ni kutokana na power inayohitajika.
Kifaa Cha umeme kinahitaji kuifikia power Fulani Ili kiweze kufanya kazi
Volt×ampare=power
V×A×cosQx√phase=power
Chukua hiyo ya mwanzo Ili tuende sambamba(v×A=power)
Kwa mfano
220v×10A=2200watt
Sasa ikitokea hiyo volt imepungua italazimika current iongezeke Ili kuifikia hyo power ya 2200w ama current ikipungua itahitajika volt iongezeke Ili kuifikia hyo watt ya 2200w
Kama una swali utauliza kwenye comment
Huu umeme wetu tunaoutumia huku majumbani kwetu haupo stable Kwa kuweza kumaintain uwiano wa volt pamoja na ampare
Kwaiyo unakuta Kuna kipindi unapanda juu sana na Kuna kipindi unashuka chini. Umeme ukiwa unashuka hapo mara nyingi kunakua hakuna madhara sana ila madhara ya nakuja pale ambapo umeme unalazimisha Kuja juu Ili kuweka uwiano wa volt pamoja na current
Pale ambapo umeme unakuja juu mara nyingi vifaa ama components ambazo zinafanya kazi kwenye tv Yako vinashindwa kustahimili ule umeme na kupelekea vifaa hivyo kufa(kuungua)
Ukiona nyumbani kwako unatumia umeme na taa kama zinafifia flani ivi mara zinawaka sana basi jua hapo umeme haupo sawa sawa hivyo inakupasa kuzima ama kuacha kutumia vifaa vyako vya umeme ambavyo ni rahisi kuungua kama TV na friji pamoja na baadhi ya radio.
Njia Bora kabisa ya kuweza kutatua tatizo Hilo la umeme kutokuwa katika uwiano mzuri ni vema ukanunua stabilizer ambayo inafanya kazi ya kusawazisha umeme na kutoa kile kiwango ambacho TV Yako inaweza kustahimili na kuendelea kufanya kazi, japo sio Kwa asilimia 100 ila at least inaweza kuokoa Kwa asilimia 75.
Kwann umeme haupo stable?
Kuna sababu nyingi sana ambazo zinafanya umeme usiwe imara na hasa mara nyingi ni sababu zinazochangiwa na vifaa vinavyotumika kuzalisha umeme(TANESCO)
Kama una swali unaweza kuuliza kwenye comment na wanajukwaa wengine wanaweza kusaidia kutoa michango yao
NUNUA STABILIZER ILI KULINDA TV YAKO