Ngedere1
JF-Expert Member
- Jun 9, 2022
- 342
- 714
Unapatikana wapi??inatengenezeka mkuu
Unapatikana wapi??inatengenezeka mkuu
kioo kina shida mkuu kinahitaji marekebishoTv kuweka mistar inamaan gan
boss hapo ni formats tu zinatofautiana.. au kama ni hdmi deki kwenda kwa tv bas kuna njia ya hdmi arc ndo inabd itumikeTv yangu nikiweka zile wire za hdmi kuja kwenye hometheath inaniandkia signal lost ila picha inaleta tatzo sauti haifki je shida Ni nn apo mkuu..? Hata nkiweka zike waya za njano red blue picha inafkq ila haisafrshi sauti mkuu
Ndo inakuaje mkuu natakiwa ninunue hiy hdm arc au na inaonekanaj kwa pich mkuuboss hapo ni formats tu zinatofautiana.. au kama ni hdmi deki kwenda kwa tv bas kuna njia ya hdmi arc ndo inabd itumike
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kununua kipya or maan inawek mistar na kucheza kucheza tv tokea inunuliwe iko ukutan tu
tv inaharibika kwa kukaa muda mrefu kuna carbon ndan vumbi plus unyevu.. au kufutwa na kitambaa chenye unyevu.. au kushuka na kupa nda kwa umeme wetu.. so hicho kioo kimeshot kinahitaji marekebisha tunatumia mashineKununua kipya or maan inawek mistar na kucheza kucheza tv tokea inunuliwe iko ukutan tu
kioo ni 160,000 pamoja na ufundiSoyi nchi 32 kioo unauzaje mkuu? Na bei ya kioo si pamoja na ufundi hapo hapo?