KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 36,516
- 89,013
kama zitarudi zilipotoka nini faida ya zenyewe kuwepo ktk mwili..? na ktendo hiki kina maana gani..?We are not human beings having a spiritual experience, we are spiritual beings having a human experience. Nachotambua roho zetu zilikuwapo kabla ya kuingia kwenye miili yetu vivyo hivyo zitarejea kule zilipotoka ila ni wajibu wa kila mmoja kuitunza roho yake vyema kabla haijarejeshwa