Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
Mwanadamu anatoka na maneno mawili Mwana-damu. Ukitizama utagundua kuwa kuna neno damu.
Sio kweli.........ni Mwana Adamu au Bin Adam
Mwanadamu anatoka na maneno mawili Mwana-damu. Ukitizama utagundua kuwa kuna neno damu.
Ni mtazamo wako wenye makengeza mengi uliokuja na mzigo tuhuma za bila ithibati wala suluhisho zaidi ya kutaka ku justify bila basis zozote kwahiyo baada ya kuwa na critical thinking tunabaki au kurudi nyuma kwenye tuhuma zile zile za wale ambao si waamini
Yaah mwana(swahili) na bin(arabic) zote zikiwa na maana ya mtoto ukiunganisha na ADAMU(Mwanadamu au Binadamu) yamaanisha mtoto wa ADAMU.Sio kweli.........ni Mwana Adamu au Bin Adam
Mimi sina ithibati mambo ya kiroho hayana ithibati ya kimwili kama sayansi kwakuwa roho sio solid object au hata liquidWewe ndio una ithibati?...Na wewe hoja zako hazina makengeza?...mtu akiamua kuamini vitabu vya stori za kufikirika walivyotunga watu kama yeye bila udhibitisho wowote unanifanya ni question your judgement
Mimi sina ithibati mambo ya kiroho hayana ithibati ya kimwili kama sayansi kwakuwa roho sio solid object au hata liquid
Sio kweli.........ni Mwana Adamu au Bin Adam
Mwana-damu, bin-adamu ambiguity of 6he the language? Kimsingi ni kitu hicho hicho labda tofauti iko kwenye matumizi ambayo nayo ukija kuangalia yanafanana, kwahiyo labda tuseme ni aina tu ya uandishi na kutegemeana na uasili wa nenoYaah mwana(swahili) na bin(arabic) zote zikiwa na maana ya mtoto ukiunganisha na ADAMU(Mwanadamu au Binadamu) yamaanisha mtoto wa ADAMU.
Thibitisha kwamba hakuna Mungu
Thibitisha kwamba hakuna roho
Thanks for seeing you back! Nilishawahi kukujibu kuwa Mungu sio Object kuwa unaweza kushika au kuona kwa macho! Na hapo ndio tunapoachana kwakuwa kwa mawazo yako Godhead is an objectKwa nini unauliza swali kabla ya kujibu swali?.Hii ni dalili ya kukosa majibu ya maswali unayoulizwa.Huwa nawaambia humu mmekariri tu kwamba kuna mungu lakini hakuna hata mmoja anayeweza kuthibitisha kwamba kweli kuna mungu.!
Ukiniambia nithibitishe kwamba hakuna mungu nakushangaa kwa sababu KISICHOKUWEPO HAKIWEZI KUTHIBITISHWA KWAMBA HAKIPO KWA SABABU HAKIPO.You cant prove negative!.Sasa wewe unayesema kuna mungu em thibitisha kwamba yupo.
Think big!,
Karibu katika ulimwengu huru
...........Free ideas.....
Sahihi kabisaRoho haifi; inaishi milele katika sehemu tofauti tofauti.