Jamaa mara nyingi huwa anaandika sana vitu visivyofikiriwa na wengi wetu, hii ndio humfanya awe wa pekee sana.
Kila ninaposoma mabandiko yake, huwa ananiwazisha sana, kuwa alikuwa akiwaza nini hadi kuamua kuandika bandiko husika.
Mkuu, nakupongeza coz unaandika zaidi vitu visivyozungumzwa kwenye mazingira yetu. Hii ni kitu kizuri sana coz unaamsha tabia mpya kwetu.
Isitoshe, mkuu una uwezo mkubwa wa kuandika jambo na likaeleweka vizuri sana bila maswali ya ziada kama alivyo
Nifah wangu.
Endelea hivyo, wasiokuelewa sasa wanaweza kukuelewa baadaye, au vizazi vyao vitakuja kukuelewa.
Ova