mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,040
Achana na Mugalu, Hilo ni bonge la striker!! Kocha anajua hivyo! Ndiyo maana anampa nafasi!! Anamtengeneza! Akiwa tayari Moto wake si wa kitoto!! Mugalu Ana manufaa makubwa pale mbele !!Golikipa kazuia shuti moja tu kati ya nafasi tatu za wazi alizozipata.
Nafasi mbili kapiga nje ya Lango akiwa peke yake ndani ya 18.
Nafasi ya mwisho kapiga sawasawa na alivyopiga aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga "Yikpe'
Yaani futi sita yeye na goli, hakuna anayembugudhi kapiga mpira uliokaribia kugusa kubebdela cha kona.
Ndo maana Kocha alimpumzisha na matokeo ya ile Sub wote tumeyaona.
Mugallu lazima ajitathmini.