Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,603
kabisa aisee.. anyway ndo mpira lakiniMimi ni Jangwani zile kosa kosa za mwanzo Kagele angekuwepo lazima mngeshinda
kabisa aisee.. anyway ndo mpira lakiniMimi ni Jangwani zile kosa kosa za mwanzo Kagele angekuwepo lazima mngeshinda
kwa ufupi leo wameshinda ila wamecheza ukundu.. hata kaizer chiefs hawaimini kama wameponaUsisahau uchoyo wa boko.
Wabongo sijui alieturoga naniSio roho, kiufup ni michawi ,, kuna mashabiki maandaz nasikia walienda eti kwa kaizer kuwapa uchawi wa kuwasaidia kuwafunga simba
Sasa mtu anaharibu mapumbu yake kwa ajili ya chuki kwa simba wanaume walioshinda goli 3 kwa sifuri
Yan Kaizer hata zile 4 hawakuamini kama wametufumania vile.kwa ufupi leo wameshinda ila wamecheza ukundu.. hata kaizer chiefs hawaimini kama wamepona
Daah leo simba imeupiga kisnge yani kuna time nilikua namuona morisson kama yesu
Tulia wewe shughuli ya leo ilikua sio ya kitoto, mzulu bila kupoteza muda na mbeleko ya refa kukataa ile panalt alikua kaishapoteadalili za kuchanganyikiwa hizi,kila mwaka maneno ni yaleyale tumetoka kiume
cheki naye huyumaandalizi ya july 3,rasmi yameanza leo.
pamoja na mbeleko za tff kumukwepesha simba na kipigo kutoka kwa yanga,sasa rasmi ataukalia hiyo tarehe 3!
wazee wa mbeleko wameshindwa kubebeka.
wiki karibu tatu bila kucheza mechi yoyote,na bado wamekaa.
ahahah.
🤑🤑🤑🤑💃💃💃🎸🎸🎸♨️♨️👏👏👏👏👏Mugaru ni taka taka.May be Nusu ya mshahara anamalizia kwa waganga.
Offside yeye,kukosa magoli yeye. Ila bado yumo tu.
Hawa Simba?Hi ndo shida ya Simba wanaamini matunguli yatawasaidia....
wasenge wa Yanga mnabaki kukenua tu humu..mtaolewaHata wanaobakwa wanabana lkn wanaachia na mpumbu unazamishwa mkuu.. hivyo mmezamishwa hogo la jang'ombe hakuna cha kufa kishujaa.