Utopolo kwenye ubora wakeKwa sababu alikuwa hajachoka na bado alikuwa anakipiga kwenye viwango halisi vya Simba na sio viwango vya Manara!
Ndivyo walifundishwa na kocha ili Wazee wapate muda wa kupumzika angalau kwa sekunde kila inapopigwa majalo!! Mipira mifupi inahitaji kasi na kukimbia uwanjani... sasa yule Classmate wa Gavana Mike Sonko angeweza vipi hayo mambo?
Basi tufanye 6-0, Aggregate 6-4! Unaonaje hapo?!
Hivi hakuna Best Loser kwenye haya mambo?!
Ni julai 3 siyo 14Simba v Yanga julai 14 akicheza Mgalu tutafungwa ananukusi za kufa mutu.
Simba wanalengo lakufika nusu fainali na ikiwezekana fainali lakini pia ni wakati wakutafakari mechi za ugenini zinavyowasumbua. Sikuwa na shaka kuwa mechi ya leo simba angeshinda ila shaka yangu ilikuwa atapata magoli manne au matano? Mechi za ugenini wachezawi huwa wanakosa komfidensi kabisa ni wakati Sasa simba waelekeze nguvu ni jinsi gani wataweza kukabiliana na mechi za ugenini.
Kwani kaletwa pale akabe..!?Alafu lizito akili pamoja na mwili,lakini wenye Mugalu wao wanasema anakaba mabeki wasipande.
Ndo maajabu nayoona kwa stricker kukaba mabeki lakini yeye na kipa nafasi tatu anakosa tena mechi muhimu za kimataifa!Kwani kaletwa pale akabe..!?
Bongo kuna wachambuzi wa mpira basi, wengi ni wachambuzi wa mchele tu.Ndo maajabu nayoona kwa stricker kukaba mabeki lakini yeye na kipa nafasi tatu anakosa tena mechi muhimu za kimataifa!
Muskuru sana mmetoka na tugoli 3 angalau, otherwise huko semi mungeibika kichizi kwa waarabu.. ..yani mngechezea sio chini ya goli 10 na kwendelea.
Kweli mkuu,wangeliletea aibu Taifa
Dah! We jamaa huna shukrani kabisa!! Wewe umeuliza maswali, raia wakakupotezea; sasa mimi kwa nia njema naamua kukujibu swali moja baada ya lingine ndo ushaniona utopolo, sio?!Utopolo kwenye ubora wake
halafu wangefungwa wewe Topolo ungepata niniMuskuru sana mmetoka na tugoli 3 angalau, otherwise huko semi mungeibika kichizi kwa waarabu.. ..yani mngechezea sio chini ya goli 10 na kwendelea.
🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
Nyie mapaka tu...Leo natafuta hata Yanga mmoja nipinge ngumi hata moja nilizike.
Hahahahaha mkuu mbona kama umetoroka MILEMBE? Povu hili lote la nini wewe MWAJUMA?We msengeh kweli, unatia kinyaa, wanaume tumepambania nchi ulimozaliwa wewe mbwah, goli 3 sifuri halafu unaongea nini hapa ..maskini ni maskini tu yan unachukia mafanikio ya simba utabakia umaskini tu