Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,323
Njooni muendelee ma mbeleko za yule msomali pale tff lkn mwisho wa siku ni hizi aibu za kila mwakaHaya Sasa.
Tunarudi kwenye KOMBE letu
Utopolo mnarudi wapi?
Njooni muendelee ma mbeleko za yule msomali pale tff lkn mwisho wa siku ni hizi aibu za kila mwakaHaya Sasa.
Tunarudi kwenye KOMBE letu
Utopolo mnarudi wapi?
Huyo ni mbumbumbu mwenzako ungemwagalia vizurHata utopolo walikuwa wanairoga Simba isipite.
Kuna mmoja nimemkuta amebana mambupu eti Simba wasishinde goli la 4
Simba ni nn?sema mikia twende sawa,mmetolewa kwa kutojua mpira?kama unajua ungepita full stop
mikia bhanaLeo natafuta hata Yanga mmoja nipinge ngumi hata moja nilizike.
Simba kaonyesha uwezo mkubwa leo, atakaebisha ana roho ya kichawiHivi mechi ya leo bado kuna utopolo anai diss simba?
Ni aheri ubakie humu kuliko kwenda kutolewa na timu inayokaribia kushuka darajaWaache wafurahie hiyo ndio furaha yao mkuu miaka mi3 hawajacheza hayo mashindano unategemea furaha watapata wapi na huku timu yao inacheza pira Hogo?
Uwezo mkubwa ni kuvuka kwenda hatua inayofuata tofaut na hapo ni upuuzi tu,aibu kwa nchi hiiSimba kaonyesha uwezo mkubwa leo, atakaebisha ana roho ya kichawi
Uyu jamaa Kwenye hi michuano sijui kwanini ALIKUA hapewi nafasi.Daah leo simba imeupiga kisnge yani kuna time nilikua namuona morisson kama yesu
Kwa kweli kajituma sana.boko ameupiga leo jmn. he was on peak form.
Timu kubwa inatolewa?au ukifika robo ndio unapewa kombe?Tumia akili mbwa wewe 2018 tulivuka makundi kulikuwa na corona? Ifike hatua mkubali simba ni timu kubwa
Kweli kabisa mkuu yani hawa utopolo na kile kibabu cha jana ndio waloweka mkosiWapo ni mashabiki sio wapenzi wa mpira..mashabiki ndio wavuta bangi humo humo na wendawazimu wananunua jezi ya afrika kusini , ingekua mimi ningeichoma moto tu au hio hela ningeinywea bia tu au niwanunulie maji ya kunywa wanaume wamepambana uwanja wa vita
Hama timu, usitarajie mwamedi FC kubeba kombe lolote kwa Africa siku za hivi karibuni, ligi na mapinduzi cup ndie makombe mnaweza kuchukua.Katika maisha hangu ya soka kuumia kama hivi imetokea mara chache mnoo haswa ni arsenal kufungwa fainali 2006 ya uefa na barca, ufaransa kufumgwa na Italy world cup 2006..
Kidoogo hapa katikati atletico kupoteza zile fainali za uefa mara 2 mbele ya real madrid.
Na leo hii, aisee leo imeniuma haswaa..
Jose ulipotelea kwends kusoma English course, ndo unatutesa sana
Hivyo yani, Simba naona wamejitoa wenyewe hawajatolewa.Simba kushindwa kusogea mbele katika hali inayowezekana
Katufelisha sana..nafasi alizokosa ndo huwa ni magoli ya Kagereyaan hana deciosio mbele ya goli. utafikiri lord bentner wa arsenal.
mwili upo ila akil 0
Nilikua mtu wa kwanza kabisa kupingana na kamati ya simba kumsajili huyu jamaa lakini leo hii najiona mjinga sana kwa mawazo yaleUyu jamaa Kwenye hi michuano sijui kwanini ALIKUA hapewi nafasi.
Anapunguza beki balaa.
Yaan Morrison na miqsone wamewachosha Sana mabeki wa keizer